Wanaume wanzangu, pesa ndio itakufanya kupata mke yeyote unayemtaka na hata kuwa nao kumi

....Kwa hiyo kwa kifupi ni kwamba UNANUNUA Mwanamke,Mkuu!! [emoji16]
 
Zinaishaje wakati ndo silaha yake

Ndo maana anasema tujikite kuzisaka

Mi naongezea tujikite kuwa na cash flow ya uhakika, itakayokufanya uwe nazo tu, yaan uwe nazo muda wote wa uhai wako
...Mkuu, Billy Gates na Mkewe, Matajiri wakubwa Duniani wenye hela chekwa chekwa wameachana....hapa unasemaje??? [emoji16]
 
...[emoji16][emoji16][emoji16] Mkuu, Billy Gates anavyo vyote hivyo tena maradufu lakini yeye na mkewe kila mmoja kachapa lapa!!! Hapo napo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…