Wanaume warefu...

Wanaume warefu...

Jaman Leo hata siwasalimii....najua nimechokoza nyuki...
Nyie wanaume warefu mnakwama wapi mbona mnaongoza kwa vibamia na urefu wenu tulitegemea muwe na mizigo ya maana ya kutufikisha kwenye kilele cha mlima...
Mwanaume akiwa tall basi kwenye boksa kuna kipisi tu...anyway ndo mlivyo si kosa lenu...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Hao ni mamba katika kundi la kenge
 
Mleta mada umejuaje lakini kama warefu wana vipisi
Jaman Leo hata siwasalimii....najua nimechokoza nyuki...
Nyie wanaume warefu mnakwama wapi mbona mnaongoza kwa vibamia na urefu wenu tulitegemea muwe na mizigo ya maana ya kutufikisha kwenye kilele cha mlima...
Mwanaume akiwa tall basi kwenye boksa kuna kipisi tu...anyway ndo mlivyo si kosa lenu...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Halafu watu wanasemaga wanaume wafupi ni wabishi Sana...hahaha!
 
Huku kijijin kwetu wakat tuna kua tuliambiwa kuwa wanaume warefu wana mikuyenge toka hapo mpaka leooo sijawahi kitembea na mrefu wala sijawahi kuvutiwa nao maana naogopa
Kumbe hujaona umehadithiwa jaribu ujionee
 
Kuna jamaa kipindi tupo A-level alikuwa tall sana, alikuwa mrefu kuliko woye pale shuleni....

Sasa yeye alikuwa hapendi kuogea bafu la wazi, huwa anaingia na ndoo chooni na kuoga huko mwenyewe......

Sasa siku moja akiwa anaoga, kumbe mlango hakuukaza, ukafungukaa.
Huku akiwa na mapuvu usoni akijisugua, watu tunamcheki tu.......

Kiukweli kama mungu yupo basi alimuonea sana mchizi. Ule urefu tulitegemea na chini kuwe hivyo.....

Kumbe ndio sababu ya yeye kutotaka kuogea bafu la wazi.
 
Back
Top Bottom