Wanaume watabakia kuwa wanaume tu!

Makalio kama makalio.

ila yanapendeza sana kuyatazama.😜😜
 
Alikosea alitakiwa kati hao watatu angalau wawili wawe na hayo makalio makubwa. Btw hivi makalio makubwa yakishakuwepo inakuwaje? Aisee wanaume sijui tunachowaza wallah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikosea alitakiwa kati hao watatu angalau wawili wawe na hayo makalio makubwa. Btw hivi makalio makubwa yakishakuwepo inakuwaje? Aisee wanaume sijui tunachowaza wallah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
Dah....yaani hadi Leo sijui makalio yanatumikaje yaani.... Sijui walinirusha hiyo silabas 🤭
 
Angeoa wote tu!! kwa sababu suala ni kupendwa km si wote wanampenda bana??? awaroge tu! wasipigane hovyo!! wasije wakazing'oa niniliu zao hizo!!! ukakosa jumla!! akitaka makalio kimbaumbau, lugumya, betina km kawa wapo!!
 
He he ila wanaume bwana akili zenu mnazijua wenyewe
 


Kwenye makalio makubwa alikuwa anapata nini??
 
Hivi makalio makubwa yana faida gani jamani? Mimi sivutiwi kabisa na makalio makubwa. Makalio yenye ukubwa wa wastani (medium) kwangu naona yana faa kwa mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…