Wanaume wavuta sigara hatarini

Bailly5

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
16,461
Reaction score
35,218
Inaweza kuwa taarifa mbaya zaidi kwa wanaume wanaojihusisha na uvutaji wa sigara na angalizo kwa vijana wanaotaka kujitumbukiza kwenye kilevi hicho.

Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Chuo cha Bergen unaonyesha kubwa kuna uwezekano wa kemikali zilizopo kwenye sigara kwenda kwenye mbegu za uzazi za mwanaume Na kusababisha kupata mtoto mwenye pumu.

Jopo la watafiti nchini Norway, limegundua kuwa mtoto anaweza kupata ugonjwa wa pumu kutokana na uvutaji wa sigara wa baba yake

Kwa nijibu wa ripoti hiyo kemikali hizo zinaweza kukaa mwilini kwa muda mrefu na kuleta madhara baadae kwa mtoto.

Chanzo: Daily Mail
 
Ndio maana siku hizi watoto wanazaliwa wa ajabu kwa sababu hizi
 
Asante sana mkuu
 
Rafiki yangu wew sio mtu mzuri. Sio kwa kunichomesha mahindi hivyo
Rafiki punguza kukaa saaaaaana mafichoni kwani tumekumiss sana kule MMU rafiki!!.......au kuna kitu kimekutokea?
 
Rafiki punguza kukaa saaaaaana mafichoni kwani tumekumiss sana kule MMU rafiki!!.......au kuna kitu kimekutokea?
Kule siku hizi hamna mada za kuchangia mkuu. Mada za kule siku hizi ni za kusoma halafu unatikisa kichwa unatulia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…