Sigara sio nzuri kabisa ila kuna watu wanajifanya kama hawajui vile.Hii ina ukweli kwa upande wangu,marehemu babu yangu alikuwa mtaalamu wa sonyo na fegi na ilikuwa bibi akienda sokoni asipomletea ni shidaa hapo home, matokeo baba yangu amezaliwa na matatizo ya pumu tofauti na wenzake wote ambao hawana hili tatizo. Nae akawa karithi tabia ya uvutaji kwa babu tokea ujanani alipomzaa kaka yangu wa pili nae akatoka ana pumu ikiwa watoto wake wengine wote hatuna hilo tatizo.
Bangi hiyo. Hata hivyo sigara ni sumu.Ndio muache kuvuta.
Inawafanya mnakuwa na midomo meusi
Ngumu mkuu! Ila natamani Sana kuacha, manake mpaka denda napewa kwa masharti now days!Pole sana. Acha hiyo kitu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Jaribu cha Zanzibar
Jecha Salim Jichaa ni noma kawa famous to the whole worldLabda anaweza kuwa na akili za Jecha