Wanaume wawili wananihitaji kwenye mahusiano sijui ni mkubalie nani?

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Hello ushauri wenu jamani

Kuna mwanaume nipo nae kwenye mahusiano anafanya kazi bank fulani,ni mpole ananijali siku ya kwanza ku meet tu bila kufanya chochote akanitembezea 30k tuli meet sehemu fulani ya kutulia Sio gest ni sehemu tu kwaajili ya mazungumzo after there Kila nikienda kwake lazima anitembezee hela,communication yuko vizuri ananipigia ata nisipopiga mazungumzo ni ya kunijali,

Anaishi mbali kidogo Sana na ninapoishi nauli 1000 " elfu moja" kwenda kwake,lakini future kaniambia tuendelee kuchunguzana ivyo ajapeleka barua na Wala hatambuliki kwetu sijamtambulisha kwetu hajanitambulisha kwao lakin marafiki zake wananifaham,kama mnavyojua wanawake maua wanaume wanatutongoza Kila siku katokea huyu Sasa tunafanya kazi taasisi moja anasema ananipenda Sana na ana future lakini anahitaji mda anijue zaidi, taasisi ni kubwa ivyo inaweza pita miezi Kwa miezi tusionane nifanyeje nibaki nilienae au nimsikilize uyu work mate,mana nilienae kwenye future bado naendelea kumsoma pia.na Aya ndo maongezi ya uyu mpya

View attachment 3270699
 

Attachments

  • Screenshot_20250314-235324.jpg
    213 KB · Views: 1
Ungetumia paragraphs ingekuwa 🔥 zaidi
 
Efu 30 imempaisha Mwamba mbaya kabisa. Hali Ni ngumu sana zaidi ya tunavyoifikiria kumbe. Na hapo eti unafanya kazi taasisi kubwa sana lakini 30,000 ikakuzuzua. Jobless Na kina mama Wa vicoba wakigawa kwa buku 5 wasisumbuliwe. Kama mtaasisi kadata kwa af 30. Safari Ni ndefu Sana. Tujishikilie
 
Aisee dunia iko kasi sana, Aya wana saikolojia na washauri wa maswala ya mahusiano njooni mtoe ushauri kwa mwana forum mwenzenu!
 
Sijui umeandika ukiwa na nyege maana hakuna cha sentensi wala aya wala nini. Kweli hawa mabro wamekuchanganya!

Fuata moyo wako unavyotaka lakini pia kumbuka kwamba mabro hawa kwa sasa wapo kwenye kampeni. Ahadi kemkem na tabia njema lakini ukiwa makini red flags utaziona tu. Usizipuuzie maana baada ya kushinda na kumiliki jimbo mauzauza ndiyo yataanza.

Stay calm and focused. Weka vigezo vyako chini. Kwamba mume unayemtafuta inabidi awe na sifa zipi za msingi? Na yupi kati ya hao anakidhi vigezo vyako?

All in all nadhani moyo wako unajua ni yupi unayemfeel zaidi kati ya hao. Na huyo ndiye atachukua jimbo hata kama tungekushauri vipi. Jitahidi tu ukate shauri mapema; na ikibidi epuka kuwa unaliwa na wote. Hiyo itakuchanganya zaidi....
 
Aim for the target, put it pon it
Aim for the target, put it pon it
No matter how far, baby, put it pon me
No matter how hard, baby, put it pon me
Aim for the target, put it pon it
Aim for the target, put it pon it
No matter how far, baby, put it pon me
No matter how hard, baby, put it
 
Tatizo unagawa mno. Huo ni umalaya. Tulia
 
Punguza tabia ya kujihusisha na mwanaume zaidi ya mmoja hujatulia kabisa. Acha kudanga utashia kubaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…