Wanaume wazuri ni wale waliopata malezi ya karibu ya mama zao, kweli?

Kuna na hii ya Chakacha

"huyu ndie popo, ala maembe pekee, hana kazi kunibwagia kokwa, ala maembe pekee" hahaha

Mtihani lazima tufeli baada ya kusikia nyimbo hiyo ya mchiriku 😀

hehehe naikumbuka hii, kuna ka mwalimu ka kike kalikuwa matata sana. Siku moja kanatusomesha fasihi simulizi na tafsida kakaimba hii nyimbo halaf kakauliza nani amefahamu nini popo na nini maembe kwenye hii nyimbo? halaf hakasubiri mtu ajibu, kakajibu wenyewe, mapopo mmeyafunika masuruali nyie mnaojifanya vidume, looh vidume mtakuwa nyinyi! nipisheni uko! na sisi maembe yetu tumeyaficha kwenye masketi.
Tukashangaa! akajibu kijeuri , na ndo kwanza tumeanza silabas, jiandaeni
 

Hahahahahahahahaha.....!

Umenifurahisha sana wewe. Yaani unaichukia PC yako?

Ina maana unataka wote tufikirie kama wewe....Kama huwezi kuhimili basi njoo nikupe kamba ukafanye kweli!!
 
Leo skulazii damu.. Hata unitake nakataa.. na leo wala
hiyo lollipop staki... Nimenuna

Nyie kina baba mnakimbia watoto wenu wa kiume, wengine
mnawakana kabisa. sisi tunawatunza na kuwakuza halafu mnakuja
juu kutuponda. Please give as break ....
Hapo red, nimeongezwa mshahara ujue, we zembea tu.

Halaf kuhusu hiyo kutunza mnakuwa hamuelewi limit ya kumtunza mtoto wa kiume bana, sasa toto la kiume unalichum likienda kulala unategemea nini?
 

Hahahaha looooooooool Mwalimu kadata hahahaha .....:]]

Hiyo inaitwa warning kuwa hataki kumwagiwa kokwa na nyie, kwake nyie si wanaume! ahahha ......

Mngemwambia atume salam 😀
 
Sio uvae, ujikatie kanga 😀

Maana lazima uiweke ile sehemu iliyokatika! hahah Kiswahili raha wallah

Halaf unaikuta kanga imeandikwa " Nimeona wengi lakini nimekuchagua wewe" (hapa inawezekana pia natuma ujumbe kwako mwalim)
 
Hahahaha looooooooool Mwalimu kadata hahahaha .....:]]

Hiyo inaitwa warning kuwa hataki kumwagiwa kokwa na nyie, kwake nyie si wanaume! ahahha ......

Mngemwambia atume salam 😀
Kalikuwa na ratiba yake, kanaolewa pasaka halaf kanaachwa krismass, kanatafta boyfriend mpya new year. Hako ka mwalimu kalikuwa balaa sana.
 
Halaf unaikuta kanga imeandikwa " Nimeona wengi lakini nimekuchagua wewe" (hapa inawezekana pia natuma ujumbe kwako mwalim)

hahahah au "mwanamke hulka" .....

Huo ujumbe wako ushajibiwa kama alivyojibu mwalimu wenu wa fasihi
 


Mkuu,

Tulianzia pale pale ambapo mada yenyewe ilianzia...A bad start lazima utakupeleke ndiko siko!! Ndio maana mifano ya awali kabisa ya ya kupika na kulea watoto imetunasa tulio wengi...Hata hivyo ilikuwa muhimu kujua, ni mambo gani kwa wanawake labda yanapewe priority kubwa....Kama ni hayo ya kupika na kuosha watoto ndiyo yanaweza kuwafanya wa-conclude kuwa XX ni mume mzuri then, nitaishia hapa!!

Broadly....mwanamume mzuri anapimwa kwa vigezo vingi na siyo single focus kwamba kalelewa na Mama....Wapo ambao wamelelewa na baba tu au wazazi wote 2 na mwisho wakawa wazuri sana!

In short, I don't buy the package!

Hata hiv
 
Ukiona watoto wanakanwa ujue kuna kawalakini kalitokea kabla hawajazaliwa. Kafanye DNA test tuone Kama midume itachomoa. "mama hacngiziwi mtoto"
 
Kamanda, kidume kikilelewa na mama ujue umeharibu jeshi, mara unaona jibaba la miaka 20 linakwenda chuo limefungiwa maandazi kwenye kikontena.

Si ndo toto la kiume linapelekewa pilau na kachumbali kila j2 lipo UDSM hapo linapelekewa pilau na mama ake
Malezi ya design hii yamechangia sana vijana kuhamia upande wa Cameron mtoto wa mama anavaa heleni anasuka nywele dah inasikitisha sana wao wakinana mama wanaita malezi ya kisasa kumpelekea mtoto wa kiume pilau chuo dah inasikitisha sana.
 
Kalikuwa na ratiba yake, kanaolewa pasaka halaf kanaachwa krismass, kanatafta boyfriend mpya new year. Hako ka mwalimu kalikuwa balaa sana.
Leo ni siku ya ukimwi duniani, umeshaenda kupima? Usisahau kujitangaza.
 
Ukiona watoto wanakanwa ujue kuna kawalakini kalitokea kabla hawajazaliwa. Kafanye DNA test tuone Kama midume itachomoa. "mama hacngiziwi mtoto"
Umeona eeh! baeleze huyu AD, tangu aolewe na TF amekuwa na pointi za ajabu ajabu.
 
Sasa kumbe pilau apeleke baba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…