hahahahaahahahWale wenye vidude vyenye urefu mfupi wakikung'uta kung'uta lazima mikojo inabakia kwenye mikono yao. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Tunasambaziana mikojo bila kupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaahahahWale wenye vidude vyenye urefu mfupi wakikung'uta kung'uta lazima mikojo inabakia kwenye mikono yao. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Tunasambaziana mikojo bila kupenda
naona umekuja spidi hapa baada ya kujitafiti mwenyeweAmani iwe kwenu wana JF,
Leo nimeona nizungumzie katafiti uchwara kadogo nilikokafanya juu ya usafi binafsi hasa wa wanaume. Wanaume wengi wakitoka kujisadia haja ndogo huwa hawanawi mikono. Kwa maneno mengine ukipeana mkono na mwanaume kuna uwezekano umeligusa dude lake kidigitali. Hali hii inachagiwa sana na kukosekana na maji safi/sabuni hasa sehemu za watu wengi baa, kumbi za starehe n.k . ingawa kuna baadhi ya wanaume wamekiri kuwa hata nyumbani huwa hawanawi mikono.
Wewe unanawa mkono baada ya kujisaidia haja ndogo?
naona umekuja spidi hapa baada ya kujitafiti mwenyewe
Mie simpagi mwanaume mkono wakati wa kusalimiana!!
AhahahaaaaaaMie simpagi mwanaume mkono wakati wa kusalimiana!!
Sababu moja wapo ni hii kipenzi... Kingine wengi ni waumini wa naniliu!!! Huwa napata wakati mgumu sana kusalimiana naoAhahahaaaaaa
Kwanini mpz?