Wanaume wengi hawasafishi mikono baada ya kujisaidia

Wale wenye vidude vyenye urefu mfupi wakikung'uta kung'uta lazima mikojo inabakia kwenye mikono yao. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Tunasambaziana mikojo bila kupenda
hahahahaahahah
 
naona umekuja spidi hapa baada ya kujitafiti mwenyewe
 
Nilifundishwa ukitoka chooni iwe haja ndogo au kubwa ni lazima kunawa mikono kwa sabuni. Ni uchafu uliokubuhu kama hutanawa mikono.
 
Me nkajua haja kubwaa... Kumbe ndogo... Kama una vidonda unawee... Bombadie sio chafu... Bro labda ww kama unatoa maji maji au ukikojoa una jikojoleaga mkononi Kwanza

Ukinya ndo unanawa...basi kama ndo ivo ukimaliza kuoga tu fua taulo... Maana c unajifuta futa mpaka kunakoo...

Wavulana c Dili sana kunawa Wakati kwa kukojoa... Mwanang utakua una nawa ata ukijigusa ki kwapa... Unajiona msaaaafiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…