Wanaume wengi tunalea watoto wasio wetu

Shost alizaa watoto 3 machotara, alimwambia mumewe akiwa na mimba alimwangalia tu mzungu, mhindi au mwarabu lazima mtoto abebe vinasaba.
 
Sikai na baba yangu, ye yuko mbali, umri wake tayari umesonga 80+ hv kweli ina make sense uliyoandika?[emoji15] [emoji15]
baba yako ana ndugu zake upande wa mama na baba wanaojuana na wasiojuana na wanavitabia vya kurithi vinavyoshabihiana. haya mambo ni makubwa mkuu. we lea tu
 


Anakuwaje si wangu wakati:

~ ananiita baba na hajatambulishwa kwa mwingine.
~ toka azaliwe nipo naye.
~ namsomesha mimi na nakaa naye.
~ kama si wangu mwenye mbona hamfuati?

Mi najua ni wangu, na kama huamini siku anatokea huyo mmiliki ndo utaona, nipe namba yako nitakubip usikie tachomfanya.

Nyie msiwaendekeze hawa wanawake, watoto hawana hatia hata kidogo, kama kaamua zaa nje poa tu nini mbaya bwana?
 
Duh mkuu, umeguswa eeeh. Maana umetema kwa uchungu sana. Poye
 
baba yako ana ndugu zake upande wa mama na baba wanaojuana na wasiojuana na wanavitabia vya kurithi vinavyoshabihiana. haya mambo ni makubwa mkuu. we lea tu
Ha haaaa haaa haaaaaa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kweli bangi mbaya lakini nasikitika ya kuwa tangu nilipooa mpaka mke wangu kujifungua hakuwahi yeye mke/wala mimi kuondoka kwenda popote zaidi ya kuwa tupo nyumbani muda wote, nilikuwa mbali na home na nilikuwa naumwa, wala hakuna ndugu waliowahi kufika kwangu kwa muda huo, sasa maneno yako haya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] labda hao ndugu walikuja kwa ungo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duh mkuu, umeguswa eeeh. Maana umetema kwa uchungu sana. Poye

Sana Kaka.... ugomvi na hawa wanawake watoto wanateseka. Mi sigombani na mwanamke nikijua analiwa nje poa tu, anapenda watoto wake kweli..natoka hapa home namwachia kila kitu napanga gheto.... nakuwa nawacheki makid wangu fresh
 
Wengi tunasubiri mpaka itokee kwako ila tunashindwa kujifunza kupitia matukio mengine yesu alisema kizazi cha nyoka kinapenda ishara
 
nikikwambia mimi nilifika na mimi ni dugu yako tena jina la mtoto naweza kukutajia sasa hv utaendelea kubisha??
 
Sana Kaka.... ugomvi na hawa wanawake watoto wanateseka. Mi sigombani na mwanamke nikijua analiwa nje poa tu, anapenda watoto wake kweli..natoka hapa home namwachia kila kitu napanga gheto.... nakuwa nawacheki makid wangu fresh
hongera mkuu, una moyo
 
nikikwambia mimi nilifika na mimi ni dugu yako tena jina la mtoto naweza kukutajia sasa hv utaendelea kubisha??
We taja tu, then natumia majina kama haya[emoji117] ابدالغني
ابد المجيب
Sidhani kama umeelewa hapo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Hata wewe , siyo wa babaako!
Pumba.fu sana weye!!

Kwa akili hizi , acha muendelee kuambiwa kuwa, mtu akiwa na vyerehani vinne (4) tayari anakuwa anamiliki kiwanda.

Anakuja mwingine , nasikia atawaambia kuwa, ukiwa na sindano nne (4 ) za kushona nguo zako kwa mkono hapo tayari unamiliki kiwanda!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…