Shost alizaa watoto 3 machotara, alimwambia mumewe akiwa na mimba alimwangalia tu mzungu, mhindi au mwarabu lazima mtoto abene sura
baba yako ana ndugu zake upande wa mama na baba wanaojuana na wasiojuana na wanavitabia vya kurithi vinavyoshabihiana. haya mambo ni makubwa mkuu. we lea tuSikai na baba yangu, ye yuko mbali, umri wake tayari umesonga 80+ hv kweli ina make sense uliyoandika?[emoji15] [emoji15]
Hivi ulishawahi kujiuliza kama huyo mtoto unayelea ni wa kwako halali?
Tafiti ndogo isiyo rasmi inaonyesha kuna uzinzi mwingi unafanyika kwa wanandoa nje ya ndoa zao. Tena imekuwa kama ni kawaida na desturi mume ama mke kuwa na mpenzi wa nje. nasikia mnawaita mchepuko. lets have a walk
Uzinzi wa nje ya ndoa umefikia mbali na wengi wanaonekana kufurahia maisha haya. inafikia hatua mwanaume anapozini na mke wa mtu huwa hajali vitu kama kushika mimba, mwanamke yupo kwenye siku za hatari n.k kwa uchunguzi wangu usio rasmi wanaume wengi linapokuja suala la kutembea na mke wa mtu only few percent not more than 7% ndio huwaza athari zitakazotokea pindi akifanya hiyo ejaculation yake ndani. What are the consequences?
Wanaume wengi hawajali, utasikia jamaa hatojua kama sio wake, ama mimi mwenyewe sijui kama hawa ninaolea nyumbani ni wa kwangu. Wakati mwingine wanawake pia huchangia, unakuta mwanamke yupo kwenye ndoa but anamwambia aliyewahi kuwa ex wake lazima nizae na wewe. This is happening.
Kwa kuchepuka huku, kwa uzinzi ufanywao nje ya ndoa. Do you believe that child is yours?
Yereeeeewi, yamkini ni mtoto wa muuza genge pale jirani, ama yule mpaka kucha rangi mkeo anapoendaga, hivi si alikuwa na mtu kabla ya kumuoa, vipi ikiwa siku moja moja wanakutana kukumbushia, si unamwacha nyumbani muda mwingi na wewe upo kazini, je nyumbani atakuwa salama muda wote ama hata ndugu yako anapita kwa mkeo? kazini je, boss naye anamega kisela akishindana na baadhi ya wafanyakazi wenzake. Oooops, The world is not a safe place?, Lets go Mars!!
What is in your mind?
Duh mkuu, umeguswa eeeh. Maana umetema kwa uchungu sana. PoyeAnakuwaje si wangu wakati:
~ ananiita baba na hajatambulishwa kwa mwingine.
~ toka azaliwe nipo naye.
~ namsomesha mimi na nakaa naye.
~ kama si wangu mwenye mbona hamfuati?
Mi najua ni wangu, na kama huamini siku anatokea huyo mmiliki ndo utaona, nipe namba yako nitakubip usikie tachomfanya.
Nyie msiwaendekeze hawa wanawake, watoto hawana hatia hata kidogo, kama kaamua zaa nje poa tu nini mbaya bwana?
Ha haaaa haaa haaaaaa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kweli bangi mbaya lakini nasikitika ya kuwa tangu nilipooa mpaka mke wangu kujifungua hakuwahi yeye mke/wala mimi kuondoka kwenda popote zaidi ya kuwa tupo nyumbani muda wote, nilikuwa mbali na home na nilikuwa naumwa, wala hakuna ndugu waliowahi kufika kwangu kwa muda huo, sasa maneno yako haya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] labda hao ndugu walikuja kwa ungobaba yako ana ndugu zake upande wa mama na baba wanaojuana na wasiojuana na wanavitabia vya kurithi vinavyoshabihiana. haya mambo ni makubwa mkuu. we lea tu
Duh mkuu, umeguswa eeeh. Maana umetema kwa uchungu sana. Poye
nikikwambia mimi nilifika na mimi ni dugu yako tena jina la mtoto naweza kukutajia sasa hv utaendelea kubisha??Ha haaaa haaa haaaaaa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kweli bangi mbaya lakini nasikitika ya kuwa tangu nilipooa mpaka mke wangu kujifungua hakuwahi yeye mke/wala mimi kuondoka kwenda popote zaidi ya kuwa tupo nyumbani muda wote, nilikuwa mbali na home na nilikuwa naumwa, wala hakuna ndugu waliowahi kufika kwangu kwa muda huo, sasa maneno yako haya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] labda hao ndugu walikuja kwa ungo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hongera mkuu, una moyoSana Kaka.... ugomvi na hawa wanawake watoto wanateseka. Mi sigombani na mwanamke nikijua analiwa nje poa tu, anapenda watoto wake kweli..natoka hapa home namwachia kila kitu napanga gheto.... nakuwa nawacheki makid wangu fresh
We taja tu, then natumia majina kama haya[emoji117] ابدالغنيnikikwambia mimi nilifika na mimi ni dugu yako tena jina la mtoto naweza kukutajia sasa hv utaendelea kubisha??