Wanaume wengi tunalea watoto wasio wetu

Wanaume wengi tunalea watoto wasio wetu

Mapenzi ya siku izi, unaweza kuchanganykiwa ukichukulia maanani,
 
Kule kwetu ukimkuta mwanamke anamtoto unamlea kama wako na hakuna hata chembe za ubaguzi.

Ila pia na wanawake wanajiheshimu ukishamuoa ni Vigumu kurudi tena kwa baba mtoto
Huku kwetu Pwani kuoa dada mwenye mtoto/ watoto vijana wengi wanaona ni kama kununua nguo ya mtumba wakati wakati dada zao waliozaa wakipata mume wanafurahia
 
Huku kwetu Pwani kuoa dada mwenye mtoto/ watoto vijana wengi wanaona ni kama kununua nguo ya mtumba wakati wakati dada zao waliozaa wakipata mume wanafurahia
Sijui wapi wapo sahihi [emoji4]
 
Huku kwetu Pwani kuoa dada mwenye mtoto/ watoto vijana wengi wanaona ni kama kununua nguo ya mtumba wakati wakati dada zao waliozaa wakipata mume wanafurahia
Ndiyo maana single moms huku wachache saana ni wa kubahatisha.

Na ndoa za zaidi ya wake wawili zinasaidia pia
 
Hivi ulishawahi kujiuliza kama huyo mtoto unayelea ni wa kwako halali?

Tafiti ndogo isiyo rasmi inaonyesha kuna uzinzi mwingi unafanyika kwa wanandoa nje ya ndoa zao. Tena imekuwa kama ni kawaida na desturi mume ama mke kuwa na mpenzi wa nje. nasikia mnawaita mchepuko. lets have a walk

Uzinzi wa nje ya ndoa umefikia mbali na wengi wanaonekana kufurahia maisha haya. inafikia hatua mwanaume anapozini na mke wa mtu huwa hajali vitu kama kushika mimba, mwanamke yupo kwenye siku za hatari n.k kwa uchunguzi wangu usio rasmi wanaume wengi linapokuja suala la kutembea na mke wa mtu only few percent not more than 7% ndio huwaza athari zitakazotokea pindi akifanya hiyo ejaculation yake ndani. What are the consequences?

Wanaume wengi hawajali, utasikia jamaa hatojua kama sio wake, ama mimi mwenyewe sijui kama hawa ninaolea nyumbani ni wa kwangu. Wakati mwingine wanawake pia huchangia, unakuta mwanamke yupo kwenye ndoa but anamwambia aliyewahi kuwa ex wake lazima nizae na wewe. This is happening.

Kwa kuchepuka huku, kwa uzinzi ufanywao nje ya ndoa. Do you believe that child is yours?
Yereeeeewi, yamkini ni mtoto wa muuza genge pale jirani, ama yule mpaka kucha rangi mkeo anapoendaga, hivi si alikuwa na mtu kabla ya kumuoa, vipi ikiwa siku moja moja wanakutana kukumbushia, si unamwacha nyumbani muda mwingi na wewe upo kazini, je nyumbani atakuwa salama muda wote ama hata ndugu yako anapita kwa mkeo? kazini je, boss naye anamega kisela akishindana na baadhi ya wafanyakazi wenzake. Oooops, The world is not a safe place?, Lets go Mars!!

What is in your mind?
Hahaha
 
Huwa nacheka sana mtu anasema sio lazima mtoto afanane na baba yake,anaweza kuchukua kucha za na vidole vya baba yake na asichukue kila kitu.

Nikwambie tu, mtoto wa ng'ombe hufanana na ng'ombe, huwezi kuta mtoto wa ng'ombe ana kwato za ng'ombe ila sura ya kondoo au mbuzi.

Haya yote ni sababu wanaume kukosa standards za kimahusiano na kuhisi wanawake ni very scarce being na kumbe kiuhalisia wao Wanaume ndio a very scarce being.

Kama unaona ni sawa mwanamke kuingia ndoani akiwa si Bikra. Then haya ya kutombewa na kuzalishiwa mke uyategemee sana tu maana kuna uwezekano mkubwa yakatokea sababu mwanamke uliyenae ana operate under the assumption kuwa unamtukuza na hauwezi kumreplace na mwanamke mwingine sababu yeye ndio only choice kwako.

Siku wanaume watakapoanza kuona ni kawaida kuwa na maamuzi ya kimisimamo bila kusitasita pale wanapokutana na wanawake wasio na standards then tutasolve asilimia kubwa sana ya migogoro ya kifamilia na mahusiano.

Unakuta mwanamke ana mawasiliano na wanaume kwenye simu unaishia kumfokea tu,hapo hautakiwi hata kufoka,ni unapiga chini ushahidi si huo hapo,aende kwa hao wanaume wanaomvutia huko nje wewe tafuta kazi mpya ambayo inaweka focus yake yote kwako na ujenzi wa familia yenu tu.
 
Utakufa bure kwa BP, kitanda hakizai haramu. Kuweni kama El Maasai. Ili mradi mtoto kazaliwa katika Boma hilo, basi ni familia ya Boma husika.
 
Vipi mkuu wamekusingizia mtoto nini?
Hivi ulishawahi kujiuliza kama huyo mtoto unayelea ni wa kwako halali?

Tafiti ndogo isiyo rasmi inaonyesha kuna uzinzi mwingi unafanyika kwa wanandoa nje ya ndoa zao. Tena imekuwa kama ni kawaida na desturi mume ama mke kuwa na mpenzi wa nje. nasikia mnawaita mchepuko. lets have a walk

Uzinzi wa nje ya ndoa umefikia mbali na wengi wanaonekana kufurahia maisha haya. inafikia hatua mwanaume anapozini na mke wa mtu huwa hajali vitu kama kushika mimba, mwanamke yupo kwenye siku za hatari n.k kwa uchunguzi wangu usio rasmi wanaume wengi linapokuja suala la kutembea na mke wa mtu only few percent not more than 7% ndio huwaza athari zitakazotokea pindi akifanya hiyo ejaculation yake ndani. What are the consequences?

Wanaume wengi hawajali, utasikia jamaa hatojua kama sio wake, ama mimi mwenyewe sijui kama hawa ninaolea nyumbani ni wa kwangu. Wakati mwingine wanawake pia huchangia, unakuta mwanamke yupo kwenye ndoa but anamwambia aliyewahi kuwa ex wake lazima nizae na wewe. This is happening.

Kwa kuchepuka huku, kwa uzinzi ufanywao nje ya ndoa. Do you believe that child is yours?
Yereeeeewi, yamkini ni mtoto wa muuza genge pale jirani, ama yule mpaka kucha rangi mkeo anapoendaga, hivi si alikuwa na mtu kabla ya kumuoa, vipi ikiwa siku moja moja wanakutana kukumbushia, si unamwacha nyumbani muda mwingi na wewe upo kazini, je nyumbani atakuwa salama muda wote ama hata ndugu yako anapita kwa mkeo? kazini je, boss naye anamega kisela akishindana na baadhi ya wafanyakazi wenzake. Oooops, The world is not a safe place?, Lets go Mars!!

What is in your mind?
 
Hivi ulishawahi kujiuliza kama huyo mtoto unayelea ni wa kwako halali?

Tafiti ndogo isiyo rasmi inaonyesha kuna uzinzi mwingi unafanyika kwa wanandoa nje ya ndoa zao. Tena imekuwa kama ni kawaida na desturi mume ama mke kuwa na mpenzi wa nje. nasikia mnawaita mchepuko. lets have a walk

Uzinzi wa nje ya ndoa umefikia mbali na wengi wanaonekana kufurahia maisha haya. inafikia hatua mwanaume anapozini na mke wa mtu huwa hajali vitu kama kushika mimba, mwanamke yupo kwenye siku za hatari n.k kwa uchunguzi wangu usio rasmi wanaume wengi linapokuja suala la kutembea na mke wa mtu only few percent not more than 7% ndio huwaza athari zitakazotokea pindi akifanya hiyo ejaculation yake ndani. What are the consequences?

Wanaume wengi hawajali, utasikia jamaa hatojua kama sio wake, ama mimi mwenyewe sijui kama hawa ninaolea nyumbani ni wa kwangu. Wakati mwingine wanawake pia huchangia, unakuta mwanamke yupo kwenye ndoa but anamwambia aliyewahi kuwa ex wake lazima nizae na wewe. This is happening.

Kwa kuchepuka huku, kwa uzinzi ufanywao nje ya ndoa. Do you believe that child is yours?
Yereeeeewi, yamkini ni mtoto wa muuza genge pale jirani, ama yule mpaka kucha rangi mkeo anapoendaga, hivi si alikuwa na mtu kabla ya kumuoa, vipi ikiwa siku moja moja wanakutana kukumbushia, si unamwacha nyumbani muda mwingi na wewe upo kazini, je nyumbani atakuwa salama muda wote ama hata ndugu yako anapita kwa mkeo? kazini je, boss naye anamega kisela akishindana na baadhi ya wafanyakazi wenzake. Oooops, The world is not a safe place?, Lets go Mars!!

What is in your mind?
Partenity Fraud ndio tatizo kubwa linalozikabili ndoa nyingi sana kwa dunia ya sasa, Wanaume wengi sana wamekuwa wahanga na Waathirika wakubwa Sana wa janga hili.

Hata Migogoro mingi Sana ya ndoa na Mauaji ya wenza, hususani Wanawake chanzo chake hasa ni kuwepo kwa tatizo hili kwa Wanandoa.
 
Back
Top Bottom