Wanaume wengi wa kibongo hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake face-to-face

Wanaume wengi wa kibongo hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake face-to-face

First Time Me Natongoza Msichana kwa Mara ya kwanza, Nilikwenda Moja kwa Moja akiwa na wenzake kama 6 hivi, nikamshika mkono nikamtoa pembeni, Nikamsifia alivyo Mrembo na nikaomba tuwe wote siku nzima, Mpaka kesho ananithamini na ananiheshimu, Kwa sababu Mwanaume kujiamini sana pia humfanya Mwanamke akusikilize na huwavutia wanawake wengi.
We jamaa jangili kweli wako sita ukaenda kumtoa mmoja duu
 
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini cha ajabu utafanya juu chini upate namba yake ya simu ili umtongoze ukiwa huko mafichoni badala ya kupiga mistari live.bado naendelea na utafiti kujua chanzo cha hili tatizo..
Live utaniambia ngoja ufikirie, namaliza kwa cm tukionana napakuwa mzigo na mazingira yetu ya gest na bar kilain!!
 
Ulaji wa chips mayai humaliza busara. Wanaume wa Bongo jifunzeni kula vizuri vyakula vya kuboresha akili ya ubongo
 
Hivi Mitandao ya kijamii ilianza lini? ujinga mwingine uhubakishe kwichani sio lazima kila mtu ajue ujinga wako.
 
First Time Me Natongoza Msichana kwa Mara ya kwanza, Nilikwenda Moja kwa Moja akiwa na wenzake kama 6 hivi, nikamshika mkono nikamtoa pembeni, Nikamsifia alivyo Mrembo na nikaomba tuwe wote siku nzima, Mpaka kesho ananithamini na ananiheshimu, Kwa sababu Mwanaume kujiamini sana pia humfanya Mwanamke akusikilize na huwavutia wanawake wengi.
Safi sana
 
Kutongoza live live mambo ya 90's huko.......
 
Labda wanawake nao wanavutiwa sana na maongezi ya kwenye simu kuliko ya uso kwa uso...
 
Tatizo kutongoza face2face ni gharama kuliko kwa simu, ukitongoza f2f bila kuacha nauli au lunch unaonekana ulikuwa unatania, simu inaheshima yake, kwajero tu ushamaliza verse manake utambana asikutawale kwenye maongezi tofauti na mkiwa f2f.
 
Back
Top Bottom