Wanaume wengi wa kibongo hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake face-to-face

We jamaa jangili kweli wako sita ukaenda kumtoa mmoja duu
 
Live utaniambia ngoja ufikirie, namaliza kwa cm tukionana napakuwa mzigo na mazingira yetu ya gest na bar kilain!!
 
Ulaji wa chips mayai humaliza busara. Wanaume wa Bongo jifunzeni kula vizuri vyakula vya kuboresha akili ya ubongo
 
Hivi Mitandao ya kijamii ilianza lini? ujinga mwingine uhubakishe kwichani sio lazima kila mtu ajue ujinga wako.
 
Safi sana
 
Kutongoza live live mambo ya 90's huko.......
 
Labda wanawake nao wanavutiwa sana na maongezi ya kwenye simu kuliko ya uso kwa uso...
 
Tatizo kutongoza face2face ni gharama kuliko kwa simu, ukitongoza f2f bila kuacha nauli au lunch unaonekana ulikuwa unatania, simu inaheshima yake, kwajero tu ushamaliza verse manake utambana asikutawale kwenye maongezi tofauti na mkiwa f2f.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…