Wanaume wengi wanaopiga wanawake, wanaogopa kupigana na wanaume wenzao

Wanaume wengi wanaopiga wanawake, wanaogopa kupigana na wanaume wenzao

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Midume inayo bonda wake zao, ama wachumba zao au magelfrend zao au hata dada zao, ni waoga ile mbaya kupigana na wanaume wenzao.
Midume hiyo mioga ina boost immunity zao za kihisia kwa kupiga wanawake zao.
Aibu jamani, tubadilike.
 
sijafanya risechi, lakini hii rumor ina ka ukweli kakubwa sana.
Wanaume wanapigana na wanamme wenzao hawagusi wanawake.
 
Midume inayo bonda wake zao, ama wachumba zao au magelfrend zao au hata dada zao, ni waoga ile mbaya kupigana na wanaume wenzao.
Midume hiyo mioga ina boost immunity zao za kihisia kwa kupiga wanawake zao.
Aibu jamani, tubadilike.

Sio kweli. Chokoza mkurya uone kama hakukunyuka hata wewe japo ni expert wa kudunda mkewe almost daily
 
mkurya chezea mke wake, lakini sio nyumba ndogo
 
Hahhahaha,sijaijua hiyo!..ila mwanaume anaempiga mwanamke ni mkatili...na asiyejua thamani ya mwanamke!
 
Wengi wao wanakua na wasiwasi na uanaune wao, ile ndio njia pekee ya wao kuamini kwamba bado ni wanaume.
 
Midume inayo bonda wake zao, ama wachumba zao au magelfrend zao au hata dada zao, ni waoga ile mbaya kupigana na wanaume wenzao.
Midume hiyo mioga ina boost immunity zao za kihisia kwa kupiga wanawake zao.
Aibu jamani, tubadilike.

Mh mwanaume anaepiga mkewe sio mwanaume huyo tena uwanaume wake wa mashaka. gumegume ilo lililoshindwa na mtume.
 
Moja ya vitu vya kishenzi na ustaarabu zero ni hii maneno.
 
sasa muwafanyeje ili waache kutoa vipondo?

Akianza mchezo wa kupiga na wewe unachukua frying pan au mwiko ule mkubwa wa ugali unaficha sehemu..akianza kukupiga unaelekea eneo la kificho na yeye unampatia ya uso au kwenye 'ding-dong' yake..saaafi!!..lazima aache kukupiga.
 
Wengi wao ni wavulana waliokua kimaungo tu na co kiakili,malimbuken na waliokosa kujiamin!wanaume suruali tu.
 
Yani sijui tuseme nini...Inategemea wamelewa vipi hao wanaume.

Kuna nyumba zingine mwanamke hafanyiwi kabisa heshima.

Inabidi tuwape pole wake zao, na mama zao walivyo teswa na baba zao.
 
Aisee! Buji upo extremly right! Wanaume wenye tabia hizo muache jamani!! prove your manhood by fighting temptations, working hard, meeting responsibilities, fulfilling promises and being honest!! Sio kuleta ubabe manyumbani...
 
Kuna kipindi nilikuwa napiga sana tungi, basi jamaa yangu mmoja alikuwa akimpenda sana baa medi mmoja pale NBC Club, yule demu alikuwa na bwana mtemi.
Basi jamaa yangu kila akipigwa na yule mtemi, hasira zake akawa anamalizia kwa kumpiga mkewe nyumbani kwake.
Kweli kabisa, wanaume wanaopiga wake zao ni wanyonge sana kwa wanaume wenzao/
 
Back
Top Bottom