japo wanasema laghai halaghaiwi, lakini huwezi jua kila kitu kila siku.
[/SIZE][/COLOR]
Tahadhari yako ni muhimu na utaona wale wenye mchozo huo majibu yao yalivyo unaweza kuapta picha halisi.
Kwa vyo vyote ingefaa wenye mtandao wangejaribu kuboresha mdano uwe na utaratibu ambao si kama huu wa mtindo wa kujadiliana, maana mambo ya mapenzi yenye kuelekeza maisha ya pamoja ni mwendo mwingine tofauti na huu wa kijiweni.
Kuna mambo kadhaa ambayo ningeshauri JF kufanyia marekebisha mtandao huu kwa baadhi ya majukwaa, kazi ambayo naiandaa, sitaiwakilisha hapa kwenys kilima cha Aleopago, bali kwa wahusika maana ni jambo la kiofisi.
[/SIZE]
Wendie mdogo wangu,mwanaume mwenye nia hawezi weka mapenzi yake kwa mtandao,wenye nia wapo huko unakoishi,unakofanya kazi,unakofanya biashara,ni hao wanao kuona,ni hao unaoshinda nao,otherwise wawe hawaoneshi nia.mitandaoni kuna wasanii wa mapenzi,watukutu wa mapenzi na wezi wa mapenzi.lengo la jf love connect ni jema ila watumiaji probs.usiendelee kupoteza muda tazama huko uliko vijana wenye nia wapo,utashindwa weye!nakuombe kheri umpate mwenye sifa sawa na haja ya moyo wako! be blessed!
dada angu andika tu wala usiwe na shakaDuuh hii ni hatari, yani ndio nilikua namalizia kuandika uzi wangu wa kutafuta mume hapa jukwaani, inabidi nisitishe , nijipange kivingine.
Umekutana na wrong people tu,watu serious tupo sana basi tu hujapata bahati ya ku'pm'iwa na sisi!Unajua kuna watu wanatoa matangazo yanaonyesha wanahitaji wenza ... Sasa huko kwenye PM ndiko balaa linakoanzia, na asipoleta balaa huko mkionana tuu ni sex ndio inatawala. Nimekoma mwaya!
thwitiii!ndo nini!Mie nipo serious niambie nifanyeje sasa ili nikuone! sitaki kukuita darl, my sweet au sijui nini! cha msingi nipe mawasiliano yako ya kweli.
Hahahahaha!
Kuna mzembe mmoja nlimuibukia na ID ya jina la kike. Lilitongoza mpaka nikakoma!
Nikalipangia appointment lije baa ya jirani. Likaja kweli asee. Acha tulichore na washkaji zangu! Limeganda pale mpaka saa tano usiku zembe likasubiri daladala likakosa likapotea na tuktuk....
Usisahau kwenye PM lilishajibaraguza linamiliki Vogue na nyumba Mbezi beach! Manina zangu babu yenu mimi
Chezeya JF wewe?
Hahahahaha!
Kuna mzembe mmoja nlimuibukia na ID ya jina la kike. Lilitongoza mpaka nikakoma!
Nikalipangia appointment lije baa ya jirani. Likaja kweli asee. Acha tulichore na washkaji zangu! Limeganda pale mpaka saa tano usiku zembe likasubiri daladala likakosa likapotea na tuktuk....
Usisahau kwenye PM lilishajibaraguza linamiliki Vogue na nyumba Mbezi beach! Manina zangu babu yenu mimi
Chezeya JF wewe?
pole my dear, kuwa makini na hawa watu wanaopotosha maana halisi ya hili jukwaa
Ukitafuta mchumba humu JF you have to be extra carefull. Kwa wadada wengi wanamaanisha ila kwa wakaka nakuwa na wasiwasi kidogo. Its true wengi wapo kingono zaidi, wengi wanafikiri ukitoa tangazo la kutafuta mchumba basi umekata tamaa ya maisha hivyo anaweza akakupelekesha jinsi atakavyo. Its very wrong, ila wapo wenye dhamira za wazi ila ndio mmoja kati ya mia moja. BE CAREFUL!
Asante sana Wifiyangu..!
Hahahahaha!
Kuna mzembe mmoja nlimuibukia na ID ya jina la kike. Lilitongoza mpaka nikakoma!
Nikalipangia appointment lije baa ya jirani. Likaja kweli asee. Acha tulichore na washkaji zangu! Limeganda pale mpaka saa tano usiku zembe likasubiri daladala likakosa likapotea na tuktuk....
Usisahau kwenye PM lilishajibaraguza linamiliki Vogue na nyumba Mbezi beach! Manina zangu babu yenu mimi
Chezeya JF wewe?
KAMA ni kweli ulifanya hivyo,basi u got a serious problem,yaani ukam time,ukawa unamchora-u had time to do all this na ugreat thinker wako wote-u must be leading a really sad empty life-i refuse to believe this story but kama ni kweli u need counselling big timeHahahahaha!
Kuna mzembe mmoja nlimuibukia na ID ya jina la kike. Lilitongoza mpaka nikakoma!
Nikalipangia appointment lije baa ya jirani. Likaja kweli asee. Acha tulichore na washkaji zangu! Limeganda pale mpaka saa tano usiku zembe likasubiri daladala likakosa likapotea na tuktuk....
Usisahau kwenye PM lilishajibaraguza linamiliki Vogue na nyumba Mbezi beach! Manina zangu babu yenu mimi
Chezeya JF wewe?
Wendie, I can asure you hakuna mwanaume serious atatafuta mke mtandaoni. Sisi tunapenda kwa kuona sasa humu utapenda nini, avatar? be careful my dada!! Lakini una akili wewe, umeshitukaje kwa kuitwa darling hata bila ya kuonana? Your intuitions are right. Keep searching na utakamata mmoja masikio one day!!