Wanaume wengi wanaotafuta wachumba humu ni balaa...!!


mie sipo hivyo cheki pm yangu!!!!
 
Sasa Ndo Umeamua Kuniumbua Sio,Yaani Umeamua Kulifikisha Huku??
 
Duuuh... Kumbeeee!!! Asante kwa tahadhari bibie..!
 
Hamna kitu ulichofanya research yako ni ya uongo haitoi majibu. Jipange.
 

Umenisikitisha sana aiseeee..kumbe na wewe ni mmojawapo wa wale mnataka kuifanya jf kama fesibuku....
 
Daaa.....hata hivyo mume hatafutwi kwa kuomba application za feki id.
 
Pole sasa lakini usiwazanie wote wako sawa wengine hawako hivyo wewe kwani unamiaka mingapi je umefanikiwakumpata au bado kwa sababu wengine wapo serious na wenge wako na joks kwa hiyo hao wana joks waachie na hao waloweka sex mbele hao malimbukeni wa loves sasa wewe hebu tuwa siliane huenda ikawa ndo rizki yako au yangu kwa hiyo nipe mawasiliano yk au vipi this is not joking this is kweli ahsant
 

kama kawaida yako mzabzab
 
Sasa watu kama nyie mnao wajaribu watu hamfai katika jamii.
 
@Heart...Watu wanafunga pingu za maisha hapa...Chezea JF weye!!! ila bahati mbaya wengi hawapendi kujitangaza.
Wendie sasa twaambie ID yako ya kila siku



Khaaa..! Uhusiano serious kupitia JF shosti..!?? # Sidhaaaani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…