Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

Wanaume wenye miaka 35 na kuendeleaa ndio wanaojuaa maana ya mapenzi

Uzuri.mmojaa hamna purukushani mnakulaa dodo lenu taratibu bila stress yaan mkiamuaa ni siku ya kulaa mnakulaa kweli mpkaa kokwa[emoji23][emoji23][emoji23]bilaa vurugu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila sasa mimi mbona hizi sifa zinazotolewa hapa zinapelea, sijajua nakwama wapi, ngoja tukikutana kwenye kahawa na wazee wenzangu tulijadili wanipe mbinu.
 
Kitu pekee nnachopendelea utafit ni kwamba huwez kuufanya kwa watu wawili... It needs enough number of people.
Ofcoz saa imewekwa kwa ajili gani nimmlikishe mtu mmojaa kwani yake[emoji23][emoji23][emoji23]wacha itumike ndugu haifutiki ipo pale pale na huwa haijaiii [emoji23][emoji23]
 
Ofcoz saa imewekwa kwa ajili gani nimmlikishe mtu mmojaa kwani yake[emoji23][emoji23][emoji23]wacha itumike ndugu haifutiki ipo pale pale na huwa haijaiii [emoji23][emoji23]
All the Best
 
Jidanganye mbona mimi nina 40 lakini sina habari na mapenzi ya dhati mm nikikutafuna ndiyo habari imeishia hapo ww jidanganye
 
Back
Top Bottom