Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi kufuatilia sera za ujenzi wa nyumba kwa mtu binafsi Vs Serikali kwenye nchi zingine tofauti na Tanzania?! Zinasemaje? Hasa nchi zilizoendelea ambazo zinahesabu miaka ya kupata uhuru (kujitawala) zaidi ya digit 2, maana hawa ndio role model wetu. Ukishapata taarifa/uzoefu tafadhali tupe mrejesho!Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
Kama angalizo tu! Hebu jaribu kufikiria kuwa hapa Tz tuna miaka 56 tu ya uhuru na nchi ina watu zaidi ya Milioni 50. Hebu ongeza angalau miaka 100 ili tuwakaribie wenzetu, je tutakuwa na watu kiasi gani? Na kama kila mtu mmoja atatakiwa kuwa na kiwanja/nyumba yake, tunatakiwa kuwa na kiasi gani cha ardhi kitakachohimili idadi hiyo ya watu? Wenzetu wa huko Moshi wanaweza kutusaidia uzoefu hapa! Idadi ya VYAMBA Vs Watu! Kindly, try to think out of the box!Umeshawahi kufuatilia sera za ujenzi wa nyumba kwa mtu binafsi Vs Serikali kwenye nchi zingine tofauti na Tanzania?! Zinasemaje? Hasa nchi zilizoendelea ambazo zinahesabu miaka ya kupata uhuru (kujitawala) zaidi ya digit 2, maana hawa ndio role model wetu. Ukishapata taarifa/uzoefu tafadhali tupe mrejesho!
Mkuu kila mtu hufanya jambo kwa muda anaona unafaa kwake.Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] heka elfu ishirini [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ajabu umenunua shamba Ruvu na wewe unajihesabia una kiwanja.
Ujinga mtupu .Walio kwenye kundi hili jitokezeni na muone aibu....
hahaha, eti thraed zisizo mpendeza!!! nuimechekaMkuu naona unatoa laana tu kwenye thread zisizokupendeza [emoji1] [emoji1] [emoji1]