Yan eti tuunaenda UDOM lakin tumepita TYUka kweli pombe mwanaharamuDadeki, naona mmeanza kuparuana makende wenyewe kwa wenyewe! Habari hizi njema kwangu ziwafikie binamu zangu wooooooote ambao walitaka kuingizwa King na nyie watu... na hao ni:-
Shunie
Raynavero
Demiss
Eh binamu zangu wapendwa... watch out those 2 guys, ni mandege ngoma hayoo, hayafai kwa supu wala kwa nyama choma!!! Hata ukiyatupa barabarani, fisi mwenyewe anakimbia!
baadae nae kawa familia, we mzee plan zako kubwa!!..😀Mdogo wangu yule bwana, tena naweza kuwa hata baba kabisa.
Teh teh teh, nilikuwa nataka nimshirikishe matatizo ya kifamilia yaliyotokea nyumbani
Endelea kumuogopa hivyo hivyo mwaya.Khaaa nilikuwa nakuogopa etiii wewe mzeee
Huyo binti ni mwananguNakazia.
Hahah humjui Malcom tycoon wewe!!...Me mtu mdogo sana kwake kumtisha!.Dadeki, naona mmeanza kuparuana makende wenyewe kwa wenyewe! Habari hizi njema kwangu ziwafikie binamu zangu wooooooote ambao walitaka kuingizwa King na nyie watu... na hao ni:-
Shunie
Raynavero
Demiss
Eh binamu zangu wapendwa... watch out those 2 guys, ni mandege ngoma hayoo, hayafai kwa supu wala kwa nyama choma!!! Hata ukiyatupa barabarani, fisi mwenyewe anakimbia!
Hahaha jaman msinifanyie hiv hahaha Malcom my brother hatimaye nimefika home nahema juu juu hizi gorofa sikutegemea kama nitazipanda leo niliambiwa utanifataEndelea kumuogopa hivyo hivyo mwaya.
chige amesoma chekechea na Raisi Mwinyi. Bonge la kibabu yaniii...[emoji23] [emoji23]
Nunua sprite kata wenge hilo!..Sijui mm bhn nimelewa
Platnumz tamuuu!!...kuna mtu anatunukiwa leo!..Mm nimelewa bhn mniwache
hahahahh shuka tembea gari kitu gani!..Hahaha nimecheka barabara nzima niko peke yangu jaman naogopa mpaka nifike UDOM alafu gar mbn inaisha mafuta yerewiii
Hafu wewe, sikupendi tena ujue...Wifi njoo club 7
Jana bwana watu walisumbua mpaka tukapewa baunsa atulinde watu wasituguse guse [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ungekuwepo jana ungepigana mchumba maaana huyu mkaka tuliekua nae mpaka jana kaongeza maadui wa kutosha kisa sisiHafu wewe, sikupendi tena ujue...
Naona ban nyingine inakunyemelea haiwezekani shem ufike kiwango cha kuniponda namna hii,...Kwanza sifa walizobarikiwa:
Wengi wana akili na wasomi
Wana mapenzi ya dhati
Ndo wanaongoza kwa UTAJIRI
Wana penda kwa dhati sijui kwa sababu sura zinatisha hawajiamini.
Wanajua kuhongaa.
Siyo wabahili.
Ukipata mchumba wa hivi atataka kujulikana kwa kila mtu na sura lake libaya atataka uongozane naye kila sehemu uwiiiii.
Hawaringi hata kidogo.
Wanajituma sana kuanzia kazini mpaka kitandani.
Wanajua kupetpet mwanamke asikwambie mtu.
Nyongeza :
Ukute umeolewa na mwanaume mwenye sura mbaya alafu mfupi ana ndevu unaweza kuzani kibwengo inabidi ukienda kumtambulisha uanze na neno "SHEMEJI YENU HUYU KASOMA ANA PESAA MUONE HIVI HIVI TU YUKO VIZURI SANA"
Wanaume wa Jf wenye sura mbaya leo tupo pamoja eeeh
Demiss mke wake Mshana.