Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Dadeki, naona mmeanza kuparuana makende wenyewe kwa wenyewe! Habari hizi njema kwangu ziwafikie binamu zangu wooooooote ambao walitaka kuingizwa King na nyie watu... na hao ni:-
Shunie
Raynavero
Demiss

Eh binamu zangu wapendwa... watch out those 2 guys, ni mandege ngoma hayoo, hayafai kwa supu wala kwa nyama choma!!! Hata ukiyatupa barabarani, fisi mwenyewe anakimbia!
Yan eti tuunaenda UDOM lakin tumepita TYUka kweli pombe mwanaharamu
 
Dadeki, naona mmeanza kuparuana makende wenyewe kwa wenyewe! Habari hizi njema kwangu ziwafikie binamu zangu wooooooote ambao walitaka kuingizwa King na nyie watu... na hao ni:-
Shunie
Raynavero
Demiss

Eh binamu zangu wapendwa... watch out those 2 guys, ni mandege ngoma hayoo, hayafai kwa supu wala kwa nyama choma!!! Hata ukiyatupa barabarani, fisi mwenyewe anakimbia!
Hahah humjui Malcom tycoon wewe!!...Me mtu mdogo sana kwake kumtisha!.
 
Endelea kumuogopa hivyo hivyo mwaya.
chige amesoma chekechea na Raisi Mwinyi. Bonge la kibabu yaniii...[emoji23] [emoji23]
Hahaha jaman msinifanyie hiv hahaha Malcom my brother hatimaye nimefika home nahema juu juu hizi gorofa sikutegemea kama nitazipanda leo niliambiwa utanifata
 
Hafu wewe, sikupendi tena ujue...
Jana bwana watu walisumbua mpaka tukapewa baunsa atulinde watu wasituguse guse [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ungekuwepo jana ungepigana mchumba maaana huyu mkaka tuliekua nae mpaka jana kaongeza maadui wa kutosha kisa sisi
 
Kwanza sifa walizobarikiwa:

Wengi wana akili na wasomi
Wana mapenzi ya dhati
Ndo wanaongoza kwa UTAJIRI
Wana penda kwa dhati sijui kwa sababu sura zinatisha hawajiamini.
Wanajua kuhongaa.
Siyo wabahili.
Ukipata mchumba wa hivi atataka kujulikana kwa kila mtu na sura lake libaya atataka uongozane naye kila sehemu uwiiiii.
Hawaringi hata kidogo.
Wanajituma sana kuanzia kazini mpaka kitandani.
Wanajua kupetpet mwanamke asikwambie mtu.

Nyongeza :
Ukute umeolewa na mwanaume mwenye sura mbaya alafu mfupi ana ndevu unaweza kuzani kibwengo inabidi ukienda kumtambulisha uanze na neno "SHEMEJI YENU HUYU KASOMA ANA PESAA MUONE HIVI HIVI TU YUKO VIZURI SANA"

Wanaume wa Jf wenye sura mbaya leo tupo pamoja eeeh

Demiss mke wake Mshana.
Naona ban nyingine inakunyemelea haiwezekani shem ufike kiwango cha kuniponda namna hii,...
 
Back
Top Bottom