Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Hawa wenye sura mbaya tunawazaa wenyewe na viapo juu moyoni kwamba tutawapa the very best we have as Mothers.

Hakuna mtoto mbaya kwa mzazi wake, na hakuna mwanamme mbaya mbele ya mwanamke ampendae.

Na hakuna aliye mbaya mbele ya Muumba wetu.

Umetisha Karucee, umetutia moyo wenye sura mbovu ambao akili hatuna, pesa hatuna.
 
Hawa wenye sura mbaya tunawazaa wenyewe na viapo juu moyoni kwamba tutawapa the very best we have as Mothers.

Hakuna mtoto mbaya kwa mzazi wake, na hakuna mwanamme mbaya mbele ya mwanamke ampendae.

Na hakuna aliye mbaya mbele ya Muumba wetu.
I bet uliolewa ungali na umri Mdogo kwa vile una hekima na busara sana.
Jamaa aliona dhahabu kwenye matope.
 
I bet uliolewa ungali na umri Mdogo kwa vile una hekima na busara sana.
Jamaa aliona dhahabu kwenye matope.
Udogo hapana.

I took my time to study very well.

Education makes a woman a true gem.

Alhamdulillah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…