Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Daaah kaz kwl kwel
 
Hawa wenye sura mbaya tunawazaa wenyewe na viapo juu moyoni kwamba tutawapa the very best we have as Mothers.

Hakuna mtoto mbaya kwa mzazi wake, na hakuna mwanamme mbaya mbele ya mwanamke ampendae.

Na hakuna aliye mbaya mbele ya Muumba wetu.
Wewe una akili nyingi sana Karucee ! Nilitaka kuandika kitu kama hicho hicho lakini kwa sababu umeandika tayari nakupa 1000likes!

Mwanaume mwenye sura mbaya amezaliwa na ninyi Wanawake wenyewe, amekaa kwenye matumbo yenu wenyewe kwa miezi tisa! Siku zote Mwanadamu anayejitambua hawezi kusema mwenzake ana sura mbaya.
 
Ila jamani hapa duniani kuna wanaume ni wabahili hadi kero kwakweli Mungu awape maisha marefu wanaume wasio wabahili including mwenye mali
Hahaha wapare wabahili alafu wamebarikiwa mikuyengee hahahahah
 
Utukome
 
Chit chat mkuu hiii wala usimind
 
Mbaya ww unauma na kupuliza haya bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…