Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Nasikia kuna sura fulani wao wanaongoza kupishana kwa brother Mshana Jr wakitafuta dawa #zile# ili angalau wawaridhisheni akina mama.
 
Nitafurahi iwapo utaniambia kilichokufikirisha hivi!...lol!
 
Hawa wenye sura mbaya tunawazaa wenyewe na viapo juu moyoni kwamba tutawapa the very best we have as Mothers.

Hakuna mtoto mbaya kwa mzazi wake, na hakuna mwanamme mbaya mbele ya mwanamke ampendae.

Na hakuna aliye mbaya mbele ya Muumba wetu.
Amebarikiwa mama aliyekuzaa, lina kheri tumbo lililokuzaa.

Hizi busara huwa unazitoa wapi uniazime kidogo?
 
Back
Top Bottom