Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

Wanaume wenye sura mbaya wanaongoza kuoa!

HATIMAYE LEO NMEKUMBUKWA .

Mimi mwenye lisura libayaaa, jeusiiiii, kauzuuuu ,vimacho vya nyokaaa, Mmang'ati hahahaahha.

Ila hapo kwenye kuhonga? Bado sijawa nahela iyo nahata ikiwepo SITOKAA nihongee ng'ooo...Niache kula Raha na mke wangu ??? Nionge nje??[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Hawa wenye sura mbaya tunawazaa wenyewe na viapo juu moyoni kwamba tutawapa the very best we have as Mothers.

Hakuna mtoto mbaya kwa mzazi wake, na hakuna mwanamme mbaya mbele ya mwanamke ampendae.

Na hakuna aliye mbaya mbele ya Muumba wetu.
Eiiiimeeen .... Sikukosea kua shabiki wako namba moja.

Maana ukisema ni kama Malaika wa Mungu ndio kasema
 
Alinambia nakupendea sura lako hilo bayaaaaa kama unakamuliwa jipu vile nikasema tooobah!
 
HATIMAYE LEO NMEKUMBUKWA .

Mimi mwenye lisura libayaaa, jeusiiiii, kauzuuuu ,vimacho vya nyokaaa, Mmang'ati hahahaahha.

Ila hapo kwenye kuhonga? Bado sijawa nahela iyo nahata ikiwepo SITOKAA nihongee ng'ooo...Niache kula Raha na mke wangu ??? Nionge nje??[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Muonge mke wako kwan nan kakwambia utafute mchepuko
 
Back
Top Bottom