Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Yaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, ilhali walikuwa wanaongea, wanakuangalia tu kama mademu vile. Mnakera sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni miongoni mwaoHyo ni tabia ya kichoko. Mtoto wa kiume lazma usalimie masela hata kama huwajui. Wanaume ndo wanaochimba kaburi
🤣🤣🤣🤣 kidogo nkwambie unagongwa huogi, lakini nkajishtukia naeza kula ban.Wewe ni miongoni mwao
Na pia kama ulipita wakabaki wanakushangaa bas jua ulipita unajitingisha kindezi so wakabaki wanakushangaa maana wameshindwa kujua kama wewe n mwanaume kweliWewe ni miongoni mwao
Mnaboa, acheni usela mavi k.mni nner[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kidogo nkwambie unagongwa huogi, lakini nkajishtukia naeza kula ban.
Mjomba mimi sio kama wewe unaerudi usiku, mi naelewa misingi yote ya kiume.
Hapa naona napoteza muda dealing with a boy who doesnt know how men act. Usijali mtoto, siku ukikua utajua jinsi ya kuwa mwanaume kamili, na utakuja nkufundishe zaidi. Sasa hv endelea kugombania pad ya PS na watoto wa dadaako huku ukisubiria shemeji ako amalize kuangalia taarifa ya habari aende kulala akuache wewe na beki tatu mkingoja kuangalia tamthilia za kifilipino.Mnaboa, acheni usela mavi k.mni nner
acha kumdhihaki mwezako dogoHapa naona napoteza muda dealing with a boy who doesnt know how men act. Usijali mtoto, siku ukikua utajua jinsi ya kuwa mwanaume kamili, na utakuja nkufundishe zaidi. Sasa hv endelea kugombania pad ya PS na watoto wa dadaako huku ukisubiria shemeji ako amalize kuangalia taarifa ya habari aende kulala akuache wewe na beki tatu mkingoja kuangalia tamthilia za kifilipino.
Sawa, we si mkubwa mwenzake? Endelea kumpa moyo kuhusu malalamiko yake. Na pia akueleze n wapi ukikuta watu wamekaa inabd wasimame waanza kukupulizia mavuvuzela kama umewaajiriacha kumdhihaki mwezako dogo
Nijuavyo unayepita unatakiwa kusalimia uliowakutaYaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, wanakuangalia kama mademu vile. Mnakera sana. Mnakuwa kama mashoga!
Lakini mkuu siyo kwa ubaya!Yaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, wanakuangalia kama mademu vile. Mnakera sana. Mnakuwa kama mashoga!
Ni watu hawayajui maisha ya mtaa tusiwalaumu,yupo jamaa mmoja mtaani kwetu ana gari yake Audi Q7 akishaingia mtaani anashusha vioo anasalimia kila anayepata nafasi ya kupita pembeni ya gari yake.Sawa, we si mkubwa mwenzake? Endelea kumpa moyo kuhusu malalamiko yake. Na pia akueleze n wapi ukikuta watu wamekaa inabd wasimame waanza kukupulizia mavuvuzela kama umewaajiri
Na wengine unapita unawapa hi wanatafakari kuitikia au hawaitikii kabisa au wengine wanajifanya wapo busy😀😀iyo mi mwenyewe uwa siipendi kinoma, wanakuwa kama sisters du wanaosubiria kupewa tu salamu na sio kutoaYaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, wanakuangalia kama mademu vile. Mnakera sana. Mnakuwa kama mashoga!
salamu sio lazima wewe... kuchimba kaburi ni wewe na moyo wako maana hata usipochimba watachimba wengine.Hyo ni tabia ya kichoko. Mtoto wa kiume lazma usalimie masela hata kama huwajui. Wanaume ndo wanaochimba kaburi
Piga miti tukiujumla tz nzima wako hivyo na uliwapa salam wanaitika kimanzi manzi
salamu sio lazima wewe... kuchimba kaburi ni wewe na moyo wako maana hata usipochimba watachimba wengineHyo ni tabia ya kichoko. Mtoto wa kiume lazma usalimie masela hata kama huwajui. Wanaume ndo wanaochimba kaburi