Wanaume wenye Wivu na huna Hela pita hapa.

Hakuna anayelazimishwa kuwa na mwanaume asiye na hela.hela sio kila kitu.wivu ni sehemu ya mapenzi.
 
Ni wazo zuri ila kwa watoto wa kike kuwaza pesa ya mwanaume tuuu ni utumwa!!!! Unawaza kuwa na mwanaume mwenye pesa umekuwa sex machine ya kulipia??? Maana ukishapewa pesa we unamrudishia nini kama sio kujituma kwene ngono????
 
Bibi yangu alishawahi kuniambia AKILI ZA WANAWAKE ZIPO HAPO CHINI YA KITIKIRINYA

haya ya hela nadhani mbuzi kufia kwa muuza subu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…