Wanaume wenzangu mliwezaje kupita kipindi cha balehe?

Wanaume wenzangu mliwezaje kupita kipindi cha balehe?

SPACE CADET

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2022
Posts
2,280
Reaction score
3,555
Note; ONLY FOR MEN

Natumai wote wazima
Tarehe 31/12 natimiza 20 years lakini kwanzia nikiwa na miaka 10 nimekuwa mraibu mkubwa wa ngono, punyeto na wanawake kiasi kwamba nimepoteza takribani pesa 400,000 kwenye ngono kwa hiyo miaka 10 kununua Malaya nilianza rasmi 1/1/2013

Sasaivi nipo chuo 1st year Nina malengo kwenye maisha lakini napenda Sana ngono Nina fantasy chafu hata siwezi kuziandika hapa nampenda Mungu Ila naona nikiendelea hivi sintofanikiwa kwenye maisha

Hivyo basi kwa wanaume wenzangu ambao mna umri 30+ wenye mafanikio na ambao hawana mafanikio naombeni ushauri wenu wa jinsi mlivyoishi from age 20-30 makosa mliofanya na kujutia kweli na jinsi mlivyocontrol hizi feelings kwa Hawa pussies.

[emoji2398]SIWASILISHI[emoji2398]
 
Note; ONLY FOR MEN
Natumai wote wazima
Tarehe 31/12 natimixa 20 years lakini kwanzia nikiwa na miaka 10 nimekuwa mraibu mkubwa wa ngono,punyeto na wanawake kiasi kwamba nimepoteza takribani pesa 400,000 kwenye ngono kwa hiyo miaka 10 kununua Malaya nilianza rasmi 1/1/2013 sasaivi nipo chuo 1st year Nina malengo kwenye maisha lakini napenda Sana ngono Nina fantasy chafu hata siwezi kuziandika hapa nampenda Mungu Ila naona nikiendelea hivi sintofanikiwa kwenye maisha hivyo basi kwa wanaume wenzangu ambao mna umri 30+ wenye mafanikio na ambao hawana mafanikio naombeni ushauri wenu wa jinsi mlivyoishi from age 20-30 makosa mliofanya na kujutia kweli na jinsi mlivyocontrol hizi feelings kwa Hawa pussies.

[emoji2398]SIWASILISHI[emoji2398]
Ni kawaida tu kuwa hivyo. Ukikua utaacha wala usihofu.
 
Hebu Tuondolee Huo Utoto wako hapa...
400k ndio inafanya uanzishe huu uzi au ni hizo fantasy zako ambazo wewe unaamini ni ngumu kuzitaja??

kuna uzi wa sexual fantansy nenda kajifunze kule halafu uwaombe moderator wayaondoe haya madabwada ulioyaandika
 
Hebu Tuondolee Huo Utoto wako hapa...
400k ndio inafanya uanzishe huu uzi au ni hizo fantasy zako ambazo wewe unaamini ni ngumu kuzitaja??

kuna uzi wa sexual fantansy nenda kajifunze kule halafu uwaombe moderator wayaondoe haya madabwada ulioyaandika
Vuta weed kidogo ukalale asante kwa ushauri bomba [emoji1672]
 
Back
Top Bottom