Wanaume wenzangu mliwezaje kupita kipindi cha balehe?

Laki 4 miaka yote au leo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha utani basi
miaka 10 nyuma sabuni zilikuwa bei rahisi tofauti na sasa. 40k kwa mwaka si mbaya kwa kujibana.
 
Kitakacho kuokoa ingia website hii NOFAP google soma na uelewe ingia pia YouTube channel angalia NOFAP baada ya hapo ni email au inbox me [emoji392] [emoji3576][emoji396][emoji396]
Ok sawa
 
Alafu miaka kumi ulikua umeshabalehe au punyeto ulifundishwa na mtu pili ulikua na semeni au ulikua unaharibu tu ubongo na mishipa may be we muongo cha mwisho acha kutazama ngono soma pia DOPAMINE
Nimeanza puchu at 10 years Ila shahawa zilianza kutoka class 6 2014 nikiwa na 11 years na mavuxi pia yalianza mda huo
 
Cha msingi sana ni kujitambua tuu kuwa wewe ni nani umetoka wapi na unaenda wapi na unataka nini basi.

Namshukuru Mungu nimepita hicho kipindi ila changamoto zilikua ni nyingi sana na baada ya kujitambua tuu nikaachana na hizi mambo kabisa za wanawake.
 
400'000tu??10yrs kha....
Ukosawa kweli???
Ntarudi baadae
Akufaayekwadhiki
........
 
U
UNATUMIAGA CONDOM NDUGU?? KAMA SIO **** MIZIGO HUKU MBEZIBEACH YAAN SIO GHARAM 20K ASB MPK JION....SHIDA HAITAKI KUSIKIA KITU NAITWA CONDOM YAAN KAMA IMEZALIWA PALE KINONDON CEMENTRY YAAN IKO VIZURI HATARE....NATUMAINI UKIOA UTABAKI KUYAKUMBUKA TUCHEKIANE
#10*000 YA UDALALI
 
Mshaurini hata kama ni dogo.
Nakumbuka wakati wangu mpaka unahisi kuchanganyikiwa kwa hiyo hali mzee anaweza kusimama masaa7.
Fanya mazoezi na washkaji, au hata discussion, usikae mwenyewe mwenyewe muda mrefu "an empty mind is the devils workshop", tafuta pisi yako moja ya chuo (kama secondary ulikuwa unapiga puchu ambacho ni kitu cha kawaida ukiwa unakuwa sasa ndiyo muda wa kuacha) kapimeni kwanza baada ya hapo weka ndani na angalia siku za hatari usimpe mimba...
Achana na malaya ukitumbukia huko,utanza mipombe bila kuwa na uwezo wa kujicontrol kutoka ngumu na utapoteza dira mwisho wa siku...
CHAMSINGI ZAIDI PIGA KITABU,WAZAZI WANA PAMBANA KUPATA HIYO ADA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…