Wanaume wenzangu tembeeni muone wanawake wazuri sio hapa Tanzania wanatuliza kwa kujiona wao wazuri

Wanaume wenzangu tembeeni muone wanawake wazuri sio hapa Tanzania wanatuliza kwa kujiona wao wazuri

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Fanya juu chini usafiri hata kidogo ufike hapo rwanda kama uwezi kuvuka bara la afrika.ila kuna nchi unaweza kuwa na pisi kali mpaka ukajiuliza mbona wapo huku.

Kuna haka kisiwa cha cyprus yani unaweza kubaki huko huko kama mtu wa totozi. twende urusi huko yani na baridi la kule unaitwa hot man kama umetoka afrika.

Huko USA yani ni wewe mwanaume mwenzangu unaona kwa mkataba wa escro
 
Fanya juu chini usafiri hata kidogo ufike hapo rwanda kama uwezi kuvuka bara la afrika.ila kuna nchi unaweza kuwa na pisi kali mpaka ukajiuliza mbona wapo huku.

Kuna haka kisiwa cha cyprus yani unaweza kubaki huko huko kama mtu wa totozi. twende urusi huko yani na baridi la kule unaitwa hot man kama umetoka afrika.

Huko USA yani ni wewe mwanaume mwenzangu unaona kwa mkataba wa escro
Kuna wajinga wanashindwa kula na kunywa kwa ajili ya pisi hizi mbovu za huku kwetu
 
Fanya juu chini usafiri hata kidogo ufike hapo rwanda kama uwezi kuvuka bara la afrika.ila kuna nchi unaweza kuwa na pisi kali mpaka ukajiuliza mbona wapo huku.

Kuna haka kisiwa cha cyprus yani unaweza kubaki huko huko kama mtu wa totozi. twende urusi huko yani na baridi la kule unaitwa hot man kama umetoka afrika.

Huko USA yani ni wewe mwanaume mwenzangu unaona kwa mkataba wa escro
Sasa,hawa wa hapa kwetu "kijiji cha ujamaa" tunawaachia akina nani?Hatutawaacha na sonona kweli?Tulitazame hili.
 
usimlaumu inawezekana hizo sehemu ndio alipo hata dar hapa fahamu anapasikia kwenye bongo movie
Ungekuwa umewahi fika hizo nchi usingeongea hivi. Sema wewe kisa unawaona kwa TV na hujawahi waona live ndio maana unawapaisha. Uko Cyprus hujawahi fika, si ajabu hata pass huna. Mtu mwenye safari za nje za maana haanzishi mada za ushubwada kama wewe hapa.
 
Back
Top Bottom