Wanaume wenzangu tupunguze Chips-Viazi, tutafedheheka !

Hivi mayai yenye kuleta afya ni yale yenye shahawa za jogoo sio?
Otait, sasa naelewa......Kabakabana hebu tumisha mayai yenye protein ya jogoo, ntakuja kuyatafuna, nipo segerea nasogea rchuga kwa shemeji zangu!

Haswaaaaa !
Bigirita hayo ndiyo Mayai !
Mavirutubisho
 

Teh teh teh inaonekana unapenda sana "ndundi". Anyway nakoz za ukweli zinahusika. Na kwa asili hiyo ni second nature kwa mwanaume yeyote kujua kuzitupia nakoz mahala pake.
 
Hivi mayai yenye kuleta afya ni yale yenye shahawa za jogoo sio?
Otait, sasa naelewa......Kabakabana hebu tumisha mayai yenye protein ya jogoo, ntakuja kuyatafuna, nipo segerea nasogea rchuga kwa shemeji zangu!

haiyaaa.....aisee....
 
Teh teh teh inaonekana unapenda sana "ndundi". Anyway nakoz za ukweli zinahusika. Na kwa asili hiyo ni second nature kwa mwanaume yeyote kujua kuzitupia nakoz mahala pake.

Sasa kumbe ! Sometimes mkuu mapurukshani town hutokea unexpected ! Uko zako mtaani unavinjari na mama ya Boma, anatokea msela anam'bamba mama ya Boma bambataa (makalio) unamkaripia anakutukana
niambie !
 
Muuza Sura
kumbe mada inakuhusu kwa sana...vip hali ya mwili wako?

Noma mzee!!!siyo kivile ila nimenenepa japo sichukizi kimuonekano si unajua kipande ndo mauzo mazima na mwili ukiijulia pamba gani utupie basi mia mia!!!
 

Asante Jg, messeg sent and delivered.
 
Sasa kumbe ! Sometimes mkuu mapurukshani town hutokea unexpected ! Uko zako mtaani unavinjari na mama ya Boma, anatokea msela anam'bamba mama ya Boma bambataa (makalio) unamkaripia anakutukana
niambie !

Hapo ni nakoz na mitama tu ndo itakayoongea
 
Mbio ndo mpango mzima!!!!bruce lee mwenyewe master wake alimuambia ukiona umezidiwa au mtiti hauwezi basi toka nduki nene!!!ngumi za uswahilini timing hamna cha ufit wala nini!!!....kinondoni shamba kuna bingwa anaitwa chura masamaki siyo mtu wa tizi ila kashawakalisha watu kibao waliokuwa fit kimazoezi!
 
@arusha, mama mgoni, baba mchaga alisema hapa, watu wakamshambulia weeee, kumbe alikuwa na pointi???

Hongera bi dada, japo tulikunanga haswa!
 
@arusha, mama mgoni, baba mchaga alisema hapa, watu wakamshambulia weeee, kumbe alikuwa na pointi???

Hongera bi dada, japo tulikunanga haswa!

umeona eeeh....
 
Noma mzee!!!siyo kivile ila nimenenepa japo sichukizi kimuonekano si unajua kipande ndo mauzo mazima na mwili ukiijulia pamba gani utupie basi mia mia!!!

kama nakuona...umeuza CV ila hupati dada hapa...LOL
 
Hivi mayai yenye kuleta afya ni yale yenye shahawa za jogoo sio?
Otait, sasa naelewa......Kabakabana hebu tumisha mayai yenye protein ya jogoo, ntakuja kuyatafuna, nipo segerea nasogea rchuga kwa shemeji zangu!

khaaaa!!umenipoteza kabisaa
 
@arusha, mama mgoni, baba mchaga alisema hapa, watu wakamshambulia weeee, kumbe alikuwa na pointi???

Hongera bi dada, japo tulikunanga haswa!

hehe marytina huyo siku hizi kawa mwanasiasa
 
Kwani Chipsi si wanga kama ilivyokuwa vyakula vingine vya wanga km Wali,Ugali,Chapati n.k labda navyo uwache kutumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…