Hivi mayai yenye kuleta afya ni yale yenye shahawa za jogoo sio?
Otait, sasa naelewa......Kabakabana hebu tumisha mayai yenye protein ya jogoo, ntakuja kuyatafuna, nipo segerea nasogea rchuga kwa shemeji zangu!
Mkubwa ! Piga mswaki wa macho! Tembea uyaone ya dunia ndiyo uongee !
Mie zamani nilikua na Slogany kama yako, iko siku niko miji ya watu usiku natokea Restaurent kula narudi Hotel , nikavamiwa na vijana wa3 wakiniamuru nitoe simu na kila kilichokua mfukoni.
Muheshimiwa hukuwepo ! Shughuli pevu iliyojiri hapo.
Katika tukio hilo kilichoniokoa ni u'fit wa mwili na umahiri wa technic ya kupigana.
Hakuna nilichopoteza pale, ningekua narenare-urojo ?
Kama utakavyo wewe ?
Kilicholengwa hapa ni kama mwanaume unapaswa uwe physical wakati wote !
Hizo pesa uzisemazo , hutokea watu wakaja kuzivamia wakazitaka kama zao utajiteteaje ? Na wengine wanaweza kukupora chako waka'kumega na saburi !
Utafanyaje na wewe hujiwezi ?
Dakika tano mtu amechoka kupigana?? Kweli wanahitaji kubadilisha life style... Mazoezi ni muhimu pia!
Hivi mayai yenye kuleta afya ni yale yenye shahawa za jogoo sio?
Otait, sasa naelewa......Kabakabana hebu tumisha mayai yenye protein ya jogoo, ntakuja kuyatafuna, nipo segerea nasogea rchuga kwa shemeji zangu!
Teh teh teh inaonekana unapenda sana "ndundi". Anyway nakoz za ukweli zinahusika. Na kwa asili hiyo ni second nature kwa mwanaume yeyote kujua kuzitupia nakoz mahala pake.
Muuza Sura
kumbe mada inakuhusu kwa sana...vip hali ya mwili wako?
Mkubwa ! Piga mswaki wa macho! Tembea uyaone ya dunia ndiyo uongee !
Mie zamani nilikua na Slogany kama yako, iko siku niko miji ya watu usiku natokea Restaurent kula narudi Hotel , nikavamiwa na vijana wa3 wakiniamuru nitoe simu na kila kilichokua mfukoni.
Muheshimiwa hukuwepo ! Shughuli pevu iliyojiri hapo.
Katika tukio hilo kilichoniokoa ni u'fit wa mwili na umahiri wa technic ya kupigana.
Hakuna nilichopoteza pale, ningekua narenare-urojo ?
Kama utakavyo wewe ?
Kilicholengwa hapa ni kama mwanaume unapaswa uwe physical wakati wote !
Hizo pesa uzisemazo , hutokea watu wakaja kuzivamia wakazitaka kama zao utajiteteaje ? Na wengine wanaweza kukupora chako waka'kumega na saburi !
Utafanyaje na wewe hujiwezi ?
Sasa kumbe ! Sometimes mkuu mapurukshani town hutokea unexpected ! Uko zako mtaani unavinjari na mama ya Boma, anatokea msela anam'bamba mama ya Boma bambataa (makalio) unamkaripia anakutukana
niambie !
@arusha, mama mgoni, baba mchaga alisema hapa, watu wakamshambulia weeee, kumbe alikuwa na pointi???
Hongera bi dada, japo tulikunanga haswa!
Noma mzee!!!siyo kivile ila nimenenepa japo sichukizi kimuonekano si unajua kipande ndo mauzo mazima na mwili ukiijulia pamba gani utupie basi mia mia!!!
mbona sili chips bebi!!Mx
Hivi mayai yenye kuleta afya ni yale yenye shahawa za jogoo sio?
Otait, sasa naelewa......Kabakabana hebu tumisha mayai yenye protein ya jogoo, ntakuja kuyatafuna, nipo segerea nasogea rchuga kwa shemeji zangu!
@arusha, mama mgoni, baba mchaga alisema hapa, watu wakamshambulia weeee, kumbe alikuwa na pointi???
Hongera bi dada, japo tulikunanga haswa!
we unapigana dakika ngapi.....?
inategemeana na pumzi alizonazo mpinzani wangu.., wewe je?