Mkubwa ! Piga mswaki wa macho! Tembea uyaone ya dunia ndiyo uongee !
Mie zamani nilikua na Slogany kama yako, iko siku niko miji ya watu usiku natokea Restaurent kula narudi Hotel , nikavamiwa na vijana wa3 wakiniamuru nitoe simu na kila kilichokua mfukoni.
Muheshimiwa hukuwepo ! Shughuli pevu iliyojiri hapo.
Katika tukio hilo kilichoniokoa ni u'fit wa mwili na umahiri wa technic ya kupigana.
Hakuna nilichopoteza pale, ningekua narenare-urojo ?
Kama utakavyo wewe ?
Kilicholengwa hapa ni kama mwanaume unapaswa uwe physical wakati wote !
Hizo pesa uzisemazo , hutokea watu wakaja kuzivamia wakazitaka kama zao utajiteteaje ? Na wengine wanaweza kukupora chako waka'kumega na saburi !
Utafanyaje na wewe hujiwezi ?