Wanaume wenzangu tupunguze Chips-Viazi, tutafedheheka !

Misosi tunapiga na mazoezi tunahudhuria kama kawaida. hiyo imekaaje?
 
Mbona wataalamu wa lishe wanatuambia kuwa viazi na ugali vyote vina kazi moja vya kuupa mwili nguvu. Jamani vyote si vyakula vya wanga?
 
Lakini wanaume wa Dar nani kawaroga?? Wanaume wa mikoani tunakula ugali maharage nyie mnakula chips hadi mnaandaa matamasha ya kula chips mayai? Hivi hizi heshima kwenye ndoa zenu zitaletwa na ngumi? Jipangeni aisee.....watu wanahamasishana kula ugali wa dona,ugali wa muhogo...nyie mnatuletea vituko gani? Kuweni sirias aisee mnatutia aibu. Huku kwetu Mbeya chips mayai inatumika kama mboga wakati wa kula dona.Arusha chips mayai wanaita matunda sasa [emoji51][emoji51][emoji51]nyie mnakula na mnalalia! Halafu baada ya miaka mnaanza kukimbilia kwa DR. MWAKA. Jaman acheni hizi aibu.


Am Done!
 
Lakini wanaume wa Dar nani kawaroga?? Wanaume wa mikoani tunakula ugali maharage nyie mnakula chips hadi mnaandaa matamasha ya kula chips mayai? Hivi hizi heshima kwenye ndoa zenu zitaletwa na ngumi? Jipangeni aisee.....watu wanahamasishana kula ugali wa dona,ugali wa muhogo...nyie mnatuletea vituko gani? Kuweni sirias aisee mnatutia aibu. Huku kwetu Mbeya chips mayai inatumika kama mboga wakati wa kula dona. [emoji51][emoji51][emoji51]nyie mnakula na mnalalia! Halafu baada ya miaka mnaanza kukimbilia kwa DR. MWAKA. Jaman acheni hizi aibu.


Am Done!
 
Lakini wanaume wa Dar nani kawaroga?? Wanaume wa mikoani tunakula ugali maharage nyie mnakula chips hadi mnaandaa matamasha ya kula chips mayai? Hivi hizi heshima kwenye ndoa zenu zitaletwa na ngumi? Jipangeni aisee.....watu wanahamasishana kula ugali wa dona,ugali wa muhogo...nyie mnatuletea vituko gani? Kuweni sirias aisee mnatutia aibu. Huku kwetu Mbeya chips mayai inatumika kama mboga wakati wa kula dona. [emoji51][emoji51][emoji51]nyie mnakula na mnalalia! Halafu baada ya miaka mnaanza kukimbilia kwa DR. MWAKA. Jaman acheni hizi aibu.


Am Done!
 
Kwakweli wanaume wa Dar wametudhalilisha sana....Teh Teh...
 
Muda si mrefu tutasikia wanawake D'salaam wanaandamana kisa waume zao "hamna kitu" kabisa kunako 6X6.
 
Ngoja sass uone jinsi utakavyotukanwa japo umeongea ukweli na siku zote msema ukweli ni mpenzi wa MUNGU
 
Kweli waambie Mimi hapa ilemi nimekula ndizi za kuchoma magimbi na maparachichi nikashushia na maziwa mgando kiasili zaidi [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Dresalaam ni jiji sio kijiji....
kuna watu wa kila aina
faida ya kuishi kwenye jiji ni uhuru wa kufanya unachokipenda bila kuhofia 'wanakijiji' watakufiikiriaje...

Sasa kama wewe inakuuma baadhi ya watu kula chips na wewe unaona sio sahihi....basi una tatizo wewe binafsi

huku jijini kuna watu mlo mmoja ,wengine miwili ,wengine mitatu na kadhalika...
wengine siku inapita tu hivyo hivyo but wote hao hawajali nani anakula nini

karibu jijini....
 



Mtu akipata jina Dar akienda mkoa wowote anakuwa superstar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…