fikra zao duni kabisaMnaoponda Chips hamjui kitu chochote. Tena nyie ndo mabingwa wa kupiga deshi, mara nyingi mnakula mlo mmoja kwa siku. Au mnajikuta mnakula kwa mama lishe wali maharage wa 1000 au ugali dagaa/utumbo wa 1500. Chips ni chakula chenye heshima yake, utakikuta hata katika mahoteli ya kifahari, na bei yake ni ya kifahari. kaulizieni dona matembele kama kuna hiyo menyu. Wote fikra zenu duni sana
View attachment 354324 View attachment 354325 View attachment 354326 View attachment 354327 View attachment 354328 View attachment 354329 View attachment 354330 View attachment 354331 View attachment 354333 View attachment 354334 View attachment 354335 View attachment 354336 View attachment 354337
Kwani chipsi c viazi tu vya kawaida..kwanini viwe hatari kwa mwanaume.Habarini wanaJF,
Kama habari inavyoeleza. Ningependa kujua kama chips ni chakula sahihi kwa mwanaume. Nimeuliza hili kwakuwa uwa napenda Kula pale usalama makumbusho na sehemu kama katalunya, kibaoni tegeta but nawaona wanaume wenzangu tena vijana about 25- 41 wakiagiza chips mayai, kuku, mishikaki n. K. Kwa upande wangu nawahurumia hawa vijana na kujiuliza kwanni huyu kijana asile ugali nyama, ugali samaki, ugali mboga mboga kama bamia mchicha na kadhalika.
Au ndiyo kubana matumizi.
Naombeni kueleweshwa kama chips ni chakula sahihi kwetu sisi vijana
Nawasilusha.
Ahsante
We toka uzaliwe hujawahi kula chips.Mwanamume timamu hawezi kula chips hata kidogo.Ukiacha madhara ya kiafya, chips ni chakula cha mademu au mashoga. Hakuna cha dharura, chips inaondoa nguvu za kiume, mwanamume unakula chips tena kwa tooth pick inasikitisha sanaaaaaa, nyie mnaoponda mada ndio walaji wakubwa wa chips. Mnakera sana.
mbona tukiwaalika wake zenu tule nao chips mnawatandika makonde na kuwapa talaka? sisi wala chips hatuna kabisa nguvu za kiume tuacheni tule chips na mashemeji zetu ambao ni wake zenu.
Umeona hapo mkuu? Chips tule sisi kulalamika walalamike wao. Hahhaaaa😀😀fikra zao duni kabisa
Mibongo bana kwa kupenda kutafuniwa..basi hapo ukute nyie ni watangazaji wa redio pendwa ya fiesta chipsifikra zao duni kabisa
sasa braza unavyoambiwa tatizo kubwa la wazungu ni kula junky foods na uzembe ulidhan hizo junky foods ni niniKwan kijana anatakiwa kula chakula gani,??? Kama issue ni chipsi mayai mbona ulaya kuna vijana na hakuna ugali dona
Umenena kweli. Hizi chipsi sisi tumeiga tu kutoka ughaibuni. mabingwa wa chips wafaransa bwana. Mtu akila chai, mkate na mayai hawaoni tatizo. Mchana au usiku akara viazi vilivyokaangwa au kuchemshwa au wali uliochanganywa na viazi hawaoni kama wamekula viazi ma mayai sawa tu na aliyekula chipsi na mayai. tena pengine wa chipsi kaongeza aina nyingine ya chakula - kuna kachumbali/salad na nyama au samakiKwan kijana anatakiwa kula chakula gani,??? Kama issue ni chipsi mayai mbona ulaya kuna vijana na hakuna ugali dona
kibongo futa lina chorestral,mayai ya kisasa,kachumbali ya kugusia ...hapa ujue hatujaongelea aliyekula viazi vya kupika au mayai ya kienyegi...Umenena kweli. Hizi chipsi sisi tumeiga tu kutoka ughaibuni. mabingwa wa chips wafaransa bwana. Mtu akila chai, mkate na mayai hawaoni tatizo. Mchana au usiku akara viazi vilivyokaangwa au kuchemshwa au wali uliochanganywa na viazi hawaoni kama wamekula viazi ma mayai sawa tu na aliyekula chipsi na mayai. tena pengine wa chipsi kaongeza aina nyingine ya chakula - kuna kachumbali/salad na nyama au samaki
Sasa tofautisha wazungu na waafrika kiafya na kiakili ndo utajua kama kuna shida au vepeesasa braza unavyoambiwa tatizo kubwa la wazungu ni kula junky foods na uzembe ulidhan hizo junky foods ni nini
Kwenye maandishi mekundu unamaanisha nikiandaa chips mayai nyumbani hakuna tatizo? au nikipika viazi kwa namna nyingine - mfano kuchemsha, na kuchemsha mayai nikala nitakuwa nimekula kitu chenye contents tofauti na aliyekula chips mayai?Mibongo bana kwa kupenda kutafuniwa..basi hapo ukute nyie ni watangazaji wa redio pendwa ya fiesta chipsi
Is High Cholesterol Harming Your Sex Life? | Fox News
9. French fries and potato chips. These are made from the unhealthiest fats, hydrogenated vegetable oils. Rich in trans-fats, these increase LDL or bad cholesterol and reduce HDL or good cholesterol.
10. Eggs. Eggs are actually good for your health but not if you have high cholesterol. Avoid egg yolk and eat only the white of an egg if you have been diagnosed with high cholesterol levels.
Lowering cholesterol is all about making healthy choices. Remember that home cooked food using natural and minimally processed ingredients is best for lowering cholesterol in your body.
Baked food na mayai ya kuku wa kisasa wanatumia sana wazungu, na wana afya nzuri tukibongo futa lina chorestral,mayai ya kisasa,kachumbali ya kugusia ...hapa ujue hatujaongelea aliyekula viazi vya kupika au mayai ya kienyegi...
hizi baked foods sio nzuri kwa afya..dah kweli sayasni kimu wengi imetupitia mbali
yeah brooKwenye maandishi mekundu unamaanisha nikiandaa chips mayai nyumbani hakuna tatizo? au nikipika viazi kwa namna nyingine - mfano kuchemsha, na kuchemsha mayai nikala nitakuwa nimekula kitu chenye contents tofauti na aliyekula chips mayai?
sema ubaya wakeSio nzuri kiafya
we jamaa your not serious...jaribu fanya tena reserch ujue tatizo kubwa la wazungu ni nini na kwanini magonjwa ya moyo na kansa yamekua juuBaked food na mayai ya kuku wa kisasa wanatumia sana wazungu, na wana afya nzuri tu
Kwa hiyo mkuu utaniambia hata nyama au samaki wa kukaangwa ni wabaya kiafya, sawa. lakini kwa nini wala chips pekee ndo wapigiwe kelele?yeah broo
hiyo ndo point
chipsi mayai sijui inaingia kwe junkie foods
haya ni mafried food ya kukaanga yanaweza mafuta mengi mwilini af mbaya zaidi tunashushia na bia baridi ndo kabisaa
basi vijana tukipata vitambi tunaona tumeotea maisha kumbe shida tu
so tujitahidi kuchemsha maviazi nn weka nyama yako pale kati tengeneza supu...kiepe yai iwe juu juu sana sio kila siku
Health Basics: Why are fried foods terrible for your health?