fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Umeongea point mkuuAkina dada/mama wana sehemu yao kubwa ya uhusika.. Wanalazimishia sana mimba siku hizi.
Watu mpo kwenye mahusiano miezi 15 hamjawahi ona ujauzito, ile mpo kwenye confrontation inayoonesha kila dalili ya mahusiano kushindwa, unaambiwa mimba imetungwa! Halafu unatishiwa, nitamwambia mtoto ulimkataa.
Mahitaji ndio tatizo...unakuta binti ameshika mimba na hana kipato cha kutosha inamiwia vigumu kutimiza mahitaji ya mtoto , hivyo anabaki anajilaumu na kuhuzunika mwisho anapata msongo wa mawazoLakini pia ukibeba mimba kabla ya ndoa jiandae kipsychologia kulea mtoto katika mazingira yeyote Yale wewe kama wewe bila kumtegemea mtu hiyo itakusaidia ata mwanaume akukimbie hutaathirika Sana mwanamke ndio mlezi ng'ombe halemewi na nundule kwanini mtoto akushinde
Vipi na wale waliooana na bado wanachomana moto kwa magunia ya mkaa??Kufanya tendo la ndoa nje ya ndoa ndiyo mwanzo wa matatizo yote haya - utoaji mimba, kuwa na single parents, mauaji, n.k. Kama jamii tunapaswa kubadilika.
Sababu ni hiyohiyo - tendo la ndoa nje ya ndoa (usaliti).Vipi na wale waliooana na bado wanachomana moto kwa magunia ya mkaa??
Shauri yake. Kwani alipoamua kuzaa bila mpangilio alitegemea nini?Unapoamua kuzaa na mwanamke, basi inatakiwa uwe tayari kwa majukumu ya kumlea mtoto ambae Mungu amewa jaalia kumpata.
Ukweli ni kwamba suala la malezi sio suala la kitoto, linahitaji sacrifice ya kutosha, kwa hiyo kitendo cha kuwakimbia wanawake na kuwaacha na viumbe huwa inakuwa ni jambo zito kidogo kwao.
Haya matukio japo yanasikitisha lkn yakawe funzo kwaoInasikitisha ila hapa kuna fundisho mara mbili. (1) Unaweza kukuta mdada anaamua kuzaa tu na kibaka wa kitaa sababu ya tamaa ya kumiliki IPhone 13 au Samsung S21 wakati jamaa hana mpango naye, yeye anataka shoo tu kisha asepe zake. Huyu kibaka hata umsingizie kuwa mimba ni yake hana mpango nawe, utaishia kushinda kwa waganga tu kumrudisha akili akuwaze wewe. (2) Hii ninaweza sema kidogo inaweza linagana na point namba
Yamenikuta hayo hayo au wewe ni mimi?Akina dada/mama wana sehemu yao kubwa ya uhusika.. Wanalazimishia sana mimba siku hizi.
Watu mpo kwenye mahusiano miezi 15 hamjawahi ona ujauzito, ile mpo kwenye confrontation inayoonesha kila dalili ya mahusiano kushindwa, unaambiwa mimba imetungwa! Halafu unatishiwa, nitamwambia mtoto ulimkataa.
πππππYamenikuta hayo hayo au wewe ni mimi?
Kwenye ndoa pia kuna ukatili unatokea mke anaachiwa jukumu la malezi huku mzee yupo miseleNdiyo maana kama jamii tunapaswa kusisitiza ushiriki wa tendo la ndoa iwe ndani ya ndoa.
HujaulizwaUnapoamua kuzaa na mwanamke, basi inatakiwa uwe tayari kwa majukumu ya kumlea mtoto ambae Mungu amewa jaalia kumpata.
Ukweli ni kwamba suala la malezi sio suala la kitoto, linahitaji sacrifice ya kutosha, kwa hiyo kitendo cha kuwakimbia wanawake na kuwaacha na viumbe huwa inakuwa ni jambo zito kidogo kwao.
Hali wanayopitia inakuwa ni ngumu sana na wanakuwa wanapitia changamoto nyingi sana, hii inapelekea kuwaza mambo mengi sana wanakuwa depressed sana, hata kihisia wanakuwa hawako sawa.
Japokuwa wao pia huwa wana changamoto zao zinazofanya inakuwa ngumu kuishi nao, ila suala la kuwakimbia na kuwaachia mizigo ya watoto linakuwa sio sawa hata kidogo.
Tunachukua maamuzi kama haya inabidi tuqngalie na upande wa mama na watoto pia, sio upande wetu tu, hata kama inaonekana wao ndio wenye makosa View attachment 1986471