mimi ni mwanaume mweusi. ni mtu mzima, nawajua wanawake sana. ukiona mwanamke anampenda mwanaume mweupe, ujue anatafuta tu mbegu ya kuzaa watoto wazuri, ila mwanaume wake wa moyoni ni mweusi au wa kawaida tu. weupe huwa wanachukuliwa kama mayai na legelege. this is according to them nilivyowasoma miaka yangu mingi ya kuwa na wanawake.Nimezoea kusikia wanawake wakisema
"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".
Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?
Weusi siku zote hutoa hisia ya power Ila weupe hutoa hisia ya purity ndio maana toka enzi na enzi wanaume weusi huonekana more masculine and powerful kuliko weupe. Hivyo, weusi huonekana kama wanaweza kutoa security ambayo wanawake wengi huitafuta.mimi ni mwanaume mweusi. ni mtu mzima, nawajua wanawake sana. ukiona mwanamke anampenda mwanaume mweupe, ujue anatafuta tu mbegu ya kuzaa watoto wazuri, ila mwanaume wake wa moyoni ni mweusi au wa kawaida tu. weupe huwa wanachukuliwa kama mayai na legelege. this is according to them nilivyowasoma miaka yangu mingi ya kuwa na wanawake.
Sura imechachuka ? Kaaah wanawake mnamaneno ya kero sana hii maanake nini we mmamaKaka mkavu wewe!! Hapo usikute una sura imechachuka km ya wale waliokuwa wanalalamika madanguro kufungwa 🤣🤣🤣
Jesus is Lord.SONGESHA FACE 🤣
Wanawake wengi wa kimaskin wanapenda Sana wanaume weupe ila sisi matajiri tunawachukia hata Kaka zetu weupeSisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Wanawake weusi hupenda wanaume weupe, ila Wanawake weupe hawapendi mwanaume mweupe..Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Huyo inawezekana kaleft group la uumeniSidhani kama mtoa mada ana matuta
Diara hayupo goliniHuyo inaweka kaleft group la uumeni
Avatar Yako haina hasara umenona , hongeraKaka mkavu wewe!! Hapo usikute una sura imechachuka km ya wale waliokuwa wanalalamika madanguro kufungwa 🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23]Nimezoea kusikia wanawake wakisema
"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".
Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kinondoni hamjambo?
[emoji23][emoji23]Sidhani kama mtoa mada ana matuta
🤣😂nimecheka aiseeSidhani kama mtoa mada ana matuta
Man down,I repeat one man down.do you copy?Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu.
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Hii ni moja ya kauli ya uongo ya wanawake..Nimezoea kusikia wanawake wakisema
"Nataka mwanaume mrefu, dark/black mwenye hofu ya Mungu na mtafutaji".
Sasa wewe sijui hao unaokutana nao ni wapi?