MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hao wapumbavu huwa wanajisemea huwa hawamaanishi. Hata wao wanawake hawajui wanachokitaka.Mambo ya Tall, Dark and Handsome 😂😂😂👐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wapumbavu huwa wanajisemea huwa hawamaanishi. Hata wao wanawake hawajui wanachokitaka.Mambo ya Tall, Dark and Handsome 😂😂😂👐
Umepata, sema amina kubwa😂😂
Wewe kama ni mweusi sawa Cobra huyu hapaa!
Sijui nikoje aisee!!..na ss hv umri umeenda ndo kabisa nimepoaShida nini mkuu changamkia nyap hizo mzee
Sisi tunatata Uno ndembendembendembendembe
Uno ndembendembendembendembe 🤣🤣
😂😂😂ett eee sema wanawake wanazijua wenyewe akili zaoHao wapumbavu huwa wanajisemea huwa hawamaanishi. Hata wao wanawake hawajui wanachokitaka.
Sawa mkuu😂Sijui nikoje aisee!!..na ss hv umri umeenda ndo kabisa nimepoa
🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mie ctak khaaah
🤣🤣🤣Muishi sana 😌
Wanakuja kusema ooh wanatakaga vitoto vyeupe… nyiee mpk hapa nilipofika sijawahi kuona mtoto mchanga mweusi
🤣🤣🤣
Una miaka mingapi?,maana ulichoamdika hapa ni zaidi ya utumboSisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu na wapate mbegu yangu na copy yangu[emoji1320][emoji1320]
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe na mrefu daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Kims-boyUna miaka mingapi?,maana ulichoamdika hapa ni zaidi ya utumbo
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu na wapate mbegu yangu na copy yangu[emoji1320][emoji1320]
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe na mrefu daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Utawagonga?Siku wanawake wakitoweka sijui mtatuambia nini si wanaume...nyinyi ni mbadala wa wanawake...View attachment 2831592View attachment 2831593
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ukiwa unatembea huwa unajiangalia angalia matako kama mademu wame mind?Sisi wanaume weupe tuna kingeke cha kupendwa sana na warembo!!
Mimi kila mwanamke huwa anatamani kuwa na mimi
Hivi wakuu wanaume weupe huwa tuna nini?[emoji23][emoji23]
Nishaombwa na wanawake kibao wanizalie mtoto eti wanataka kuchanganya damu na wapate mbegu yangu na copy yangu[emoji1320][emoji1320]
Kila mahali ukienda au ukifanya jambo hata ukikosea unaonekana innocent usiye na kosa kwasababu muonekano unakuonyesha upo na uhb na vile mi mweupe na mrefu daaaah
Hivi ni mimi tu au na wanawaume ambao ni weupe na handsome nao wanakumbana na hii hali ya kutongozwa na kupendwa na wanawake?
Nikimtongozaga mwanamke huwa hachomoi kabisa..
Makasiriko hayo mkuuSiku wanawake wakitoweka sijui mtatuambia nini si wanaume...nyinyi ni mbadala wa wanawake...View attachment 2831592View attachment 2831593
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unamakengeza anyway ngoja nimsapoti white wenzanguMuishi sana 😌
Wanakuja kusema ooh wanatakaga vitoto vyeupe… nyiee mpk hapa nilipofika sijawahi kuona mtoto mchanga mweusi
🤣🤣🤣