Wanaume wote njooni mchague wenyewe

haya usipozuia tamaa unaweza ukaangukia namba ipi
 
kuna kawimbo ka utotoni kanasema Najua kuhesabu nambaa 1...2...3!!
 
Inawezekana wema akawa kwenye nambari saba?
 
naona 16 tuko wengi sana, alafu hiyo namba nne kama yule delicious wa kiume wa huko bongo, alafu namba moja kuna bro fulani hivi analo yupo pande za mwanza.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namba 16 ni balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…