mtawafanya ma demu wenu wawajue mnacho kipenda zaidi na kama hanacho atapoteza tumaini kuwa humpendi kivile na muda wowote ukipata namba hiyo utamuacha 😀😛
naona 16 tuko wengi sana, alafu hiyo namba nne kama yule delicious wa kiume wa huko bongo, alafu namba moja kuna bro fulani hivi analo yupo pande za mwanza.