Wanaume: You have to grow up


Humu si kila mwanaume perfect ila wamejaa uduwanzi alafu hawataki kuambiwa ukweli ila ingekuwa mada ya kuwasema wanawake ungeona ambavyo povu lingewatoka, sasa unapowaambia ya msingi kwaajili ya maendeleo yao bado hawataki wanakutafutia kasoro.
 
pesa ndo kila kitu....acheni umariooo na kudeka kama watoto wa kike....
 
Exactly nilichokielewa pia, ila sasa wanavyong'aka na kutukana humu unagundua tu jinsi gani kazi ipo tena sio haba, no wonder familia nyingi zinalelewa na wanawake siku hizi.

Yaani hivi vivulana basi tu ni hizo jinsia ndio zimebaki za kiume, hivi huo ujinga ni wa kutetea kweli??? Alafu eti wanataka kuheshimiwa, thanx to my dad and my baba mkwe they raised no loosers.
 
Yaani ni majanga, alafu eti mtu mshipa yanamtoka eti anatetea huo upuuzi! ! Mwanaume unauwaje unaolewa, utawafunisha nini wanao???

Nimeshahau hapo juu, kuna wanaume kibao siku hizi wana miko milaini kuliko ya wake zao, Aibu sana.
Mke ana fanya usafi, anafua, anapika ameajiriwa au ana kibarua na kibiashara chake mume labda ameajiriwa akitoka kazini ni simu, vijiwe ipads na TV.
 
Nimeshahau hapo juu, kuna wanaume kibao siku hizi wana miko milaini kuliko ya wake zao, Aibu sana.
Mke ana fanya usafi, anafua, anapika ameajiriwa au ana kibarua na kibiashara chake mume labda ameajiriwa akitoka kazini ni simu, vijiwe ipads na TV.

Yaani ni majanga haswaaa.
 
Nimeshahau hapo juu, kuna wanaume kibao siku hizi wana miko milaini kuliko ya wake zao, Aibu sana.
Mke ana fanya usafi, anafua, anapika ameajiriwa au ana kibarua na kibiashara chake mume labda ameajiriwa akitoka kazini ni simu, vijiwe ipads na TV.

Hapa umenikanyaga kidole... mi namuvuzisha stocks in millions unataka niwe na mikono migumu ili iweje?
 
nyakoo, mada yako nzuri ili umeiwasilisha kwa mihemko. So, tulia ujibiwe staili hiyohiyo.

Yani ni kama unamtetea Jaki mada nzima.

Kuhusu pesa. Kuna mario wengi tu umario wao ni kutafuta pesa kwa hiyo mimama. Na hilo huna cha kufanya. Ongea mpaka koo litoke...

Umario mwingine ni wa kulazmishiwa. Suleimani mwenyewe alipelekewa dhahabu na malikia wa Sheba ili tu apate mbegu ya huyo Sele.

Halafu nimeshangaa sana unaongea kilugha... that speaks volumes kukuhusu. But heck... no personal attacks
 
Last edited by a moderator:

Jack ametumika kama mfano tu, na why nisimtetee? Kwani tatizo nini? Yeye ni mwanamke na kuolewa kwa mwanamke ni kawaida, shida ni pale mwanaume unapoolewa, yaani lugha za marioo utazijua tu, why nisiwe na mihemko wakati wanaume mnazidi kupotea hadi inafikia mnaolewa na wanaume wenzenu achilia mbali wanaoolewa na wanawake, kazi hamtaki tena sijui nanyi mwataka kuzaa kwa uchungu!! Bahati mbaya mnaishia kuzaa mavi tu, mkiambiwa hamtaki eti ongea hadi koo litoke!! Hivi utakuwa baba wa aina gani wewe!! Shame!! Alafu kuongea kilugha imekuuma pia! Daaah njoo nikufundishe basi maana najua chako hukijui wajifanya wa mjini, yeah nimeongea and am proud, ikikuuma fumba macho.
 
Last edited by a moderator:
Humu si kila mwanaume perfect ila wamejaa uduwanzi alafu hawataki kuambiwa ukweli ila ingekuwa mada ya kuwasema wanawake ungeona ambavyo povu lingewatoka, sasa unapowaambia ya msingi kwaajili ya maendeleo yao bado hawataki wanakutafutia kasoro.

Tatizo ni uwasilishaji wako umeifanya hadhira lengwa itafakari kumuhusu muwasilishaji badala ya mada.

Kuponda ni namna ya mwisho kabisa kushawishi hadhira yako ikuelewe. Wanaokutetea hawakutendei haki.

We ukiwaza ujumbe umefika, walengwa tunawaza yamekusibu yapi.
 
Umeandika meengi ila wenye akili tushakusoma.

Hongera sana kwa kupata kibabu cha kukulea.............

Puuza maneo ya mtaani furahia dubwasha lako jipya..

Naelekea jukwaa la siasa kidogo kutibua kichwa kidogo, nitarudi

Hongera sana

Hahahaha mi simjibu hili tu linamtosha
 

Hicho ndo ulichoandika kwakuwa ndicho ulitamani kukiwaza ila bahati nzuri ulichoandika pale awali kinaonyesha mada imekuingia haswaaa na umeielewa, hiyo nyingine ni mihemko yako tu baada ya mada kukuingia. Kuna namna nyingi za kuwasilisha jambo hii pia ni njia mojawapo na uzuri ni kuwa ujumbe umefika, hayo mengine jifarijini tu maana sio mbaya mada ikikukolea ukajipooza pia.
 
Mens we are direct insulted by this girl. Najizuia kureply maneno makali tu. Tafsiri ya elimu ni matendo mkuu,ili bidi utumie busara na knowledge uliyoipata shule kujaribu kuweka thread yako vzr.

Jiangalie upya dada angu
 

Kwa aya moja, hayo uliyoandika ni mengi sana. Hata hivyo, hayasaidii mada yako kuboresha wanaume. Sana yanazidi kuonyesha kuna kitu zaidi ya unachohubiri. Sasa matusi yooote ili iweje? Ni rahisi kumtoa mtu kijijini ila ni ngumu sana kutoa kijiji ndani ya mtu!!

Narudia, uwasilishaji wako wa mada na unavyojibu vinakuakisi kuliko ambavyo unavyodhania. Na hufananii na mtu wa kushauri mario tubadilike. Tutaendelea kuwa mario sanaaaaaaaaa........ maana hakuna namna ingine tena
 
kwenda uko uyo ulonae kwa kua ana vipesa ndo unasema anajielewa akiishiwa utamkimbia atakua hajielewi tena...we c useme tu kwamba unapenda mwenye pesa ili tukutafute wenye pesa tupo.

Wenye pesa huwa hawajitaji bali pesa zinaongea zenyewe, naanzaje kumkimbia super huby? Hawezi kuishiwa maana ana mipango na hakufanikiwa kwa mteremko, alafu hakukosea kunioa pia so kumkimbia haiwezi tokea till death do us apart.
 

Anaejifariji ni wewe maana unadhani utabadili wanaume kwa kuwatukana. Sahau. We hapa tukana sana maana ni rahisi zaidi kulingana na uwezo wako. Ila hilo halitaondoa marioooooz....

Kuhusu kauli kuwa ujumbe umefika, jifariji kwa hilo maana huna namna ingine ya ushawishi (ni matusi na hiyo kauli, kwishney).
 
Mens we are direct insulted by this girl. Najizuia kureply maneno makali tu. Tafsiri ya elimu ni matendo mkuu,ili bidi utumie busara na knowledge uliyoipata shule kujaribu kuweka thread yako vzr.

Jiangalie upya dada angu

Kama haikuhusu si unapita kimya? Ukiona imekuuma ujue ndio ukweli huo, hii sio insult bali ni ukweli so kama umeamua kuichukulia kama insult basi its totaly aint my fault. Ichuke ili ikusaidie kuraise better men huko baadae kama wewe binafsi haikuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…