Kwa aya moja, hayo uliyoandika ni mengi sana. Hata hivyo, hayasaidii mada yako kuboresha wanaume. Sana yanazidi kuonyesha kuna kitu zaidi ya unachohubiri. Sasa matusi yooote ili iweje? Ni rahisi kumtoa mtu kijijini ila ni ngumu sana kutoa kijiji ndani ya mtu!!
Narudia, uwasilishaji wako wa mada na unavyojibu vinakuakisi kuliko ambavyo unavyodhania. Na hufananii na mtu wa kushauri mario tubadilike. Tutaendelea kuwa mario sanaaaaaaaaa........ maana hakuna namna ingine tena
Huhuhuuuuuuu jiwe hilooooo, haya jiteteeni wahusika ila ujumbe mmeupata.
Anaejifariji ni wewe maana unadhani utabadili wanaume kwa kuwatukana. Sahau. We hapa tukana sana maana ni rahisi zaidi kulingana na uwezo wako. Ila hilo halitaondoa marioooooz....
Kuhusu kauli kuwa ujumbe umefika, jifariji kwa hilo maana huna namna ingine ya ushawishi (ni matusi na hiyo kauli, kwishney).
Mens we are direct insulted by this girl. Najizuia kureply maneno makali tu. Tafsiri ya elimu ni matendo mkuu,ili bidi utumie busara na knowledge uliyoipata shule kujaribu kuweka thread yako vzr...
Spot on! Halafu akielezwa anakimbilia kwenye kikona chake cha 'ujumbe umefika' na matusi. She ain't a type to convince a boy to man up! But this is JF. All and sundry can claim stuff... so much stuff!!
Hahaaa ningeshangaaa uzi kama huu ukosekane, hata hiyo ningefika mwisho bila kuona comment yako nilipanga nikuite, manake huyu kama wewe vile vile!!!!!!
Unafikiri ujumbe ungekuwa haujakufika ungekuwa hapa? Fundi ujumbe umekufika tena haswaaaa maana ulishasema pale awali, kwahiyo kama umeamua kuwa shingo ngumu na kuamua kuolewa basi sawa ila sijui utawafundisha nini wanao wa kiume kama baba yao umeolewa.
nyakoo, kejeli hazibadilishi uhalisia kukuhusu au kunihusu na zinakuanika zaidi ulivyo. Chukua ushauri wangu, jipime kama we nawe ni wa kushauri wanaume kujiboresha. Ngoja kwanza...., wewe jiboreshe ndo urudi hapa kufunda wanaume.
Like yo doing eti?? Teh teh teh ujumbe umefikaaaaaa, nyie ni wa kuambiwa hivi hivi si unaona ulivyoguswa!! Huo ni ukweli sio matusi, ukiona ni tusi basi ujue limekupata na limegonga penyewe, nashukuru umepata kitu, so man up, umesikia mtoto mzuri.
Khaaaah!! Kejeli ni sehemu ya kufikisha ujumbe pia, na umefika haswaaaaaaa,
hii ingekuwa mada inayohusu wanawake mngeshadadia hatari na walaaaa msingeziona hizo sijui mnazoziita kejeli mara matusi mnatafuta tu releaf ila ujumbe mmeupata, kazi kwenu ku-man up au kuolewa. Ila kama mmeamua kuolewa basi msilalamike maana yo aint man enough.
nyakoo nyakoo nyakoo...... jipange upya kwenye uwasilishaji wako. Ona umekimbilia tena kikona chako.
Hahahaaaaa! My kaka sikosekani aisee, naangalia tu jinsi watu wanavyotiririka, huyu nyakoo kanikosha ningempa soda sema ndio basi tena nami mchunguuu kwenye hela yangu, teh teh teh.
Kama kawaida kwenye kona. Dah... unatabirika kiurahisi mno nyakoo! Mbona unajumuisha sana? But then, kama nilivyokushauri, jiboreshe!!
Kweli kabisa kaangusha point za maana, sema wa kuelewa ndo hamna, lara 1 anasemaga wanaume wa siku hizi ni Legelege United, hawajielewi wanalia lia tu na kupenda mtelemko ka wanawake
Na wewe unasemaga si bora waje tu muolewe pamoja, loh!!! nachekaga balaaa
BUT ni ukweli usiopingika kwamba kuna wanaume wachache sana wanaojitambua, the rest ni magumegume
Mwagizie nyakoo japo kiofa cha azam cola ya mia tano bana nakuja kulipa
Hii inamuhusu kila mwanaume, maana mnaishia kuwarithisha watoto wenu wa kiume uvivu wenu nao wanakuwa wa kulalama tuuuuuu hawataki kazi, so kama unahisi haikuhusu jiulize tena, alafu yaweza kuwa inamuhhsu mdogo wako, jirani yako, binamu yako,mwanao nk, so still una wajibu wa kufanya.
Kweli kabisa kaangusha point za maana, sema wa kuelewa ndo hamna, lara 1 anasemaga wanaume wa siku hizi ni Legelege United, hawajielewi wanalia lia tu na kupenda mtelemko ka wanawake
Na wewe unasemaga si bora waje tu muolewe pamoja, loh!!! nachekaga balaaa
BUT ni ukweli usiopingika kwamba kuna wanaume wachache sana wanaojitambua, the rest ni magumegume
Mwagizie nyakoo japo kiofa cha azam cola ya mia tano bana nakuja kulipa
Hongera kwa kupata kibabu kilichotelekeza familia yake...... Umekubali kua mchepuko wa kizee kisa bwanaako hapa peii