Wanaume: You have to grow up

Time will have better definition of you madam.

Dua la kuku hilo nakwambia, i wish ningekualika kwetu uone tunavyoishi angalau kwa mwezi tu, sie tuko real hatufake chochote na hatukujuana jana, we have a strong bond haswaa, am a blessed woman to have such a gentleman as a huby ni jukumu langu kuhakikisha he is happy always na siwi chanzo au kikwazo cha furaha yake, nampa kila saport anayopaswa kuipata kwa mkewe with great love and trust, mafanikio yetu yamechangiwa nasi wote kwa kumtegemea sana Mungu na kuput efforts in what we do, and it has payed alot,

ila mind you alikuwa na efforts na imani sana katika kuzisaka hata kabla hajakutana nami, so i was lucky kumpata wa hivi, nanyi hamjachelewa acheni kulalamika wekeni juhudi na sala ktk mfanyayo nanyi mtafanikiwa, no one ever succeded kwa kukaa na kulalamika, you get out there sweat alot and yo gona reach wr you wish to. Sio ukae usubiri uoe ndio eti utafute kisingizio eti sijui kila suceesfull man kuna woman behind, anza kwanza kwa efforts ukimpata mke anakuwa ni bonus ya kukupush zaidi maana ukibweteka hivyo ukimsubiri eva ndio mnaishia kuolewa sasa.
 

Kwahiyo huko siasani ndio unamfuata jecha??

Ukiona mwanaume anawaza hivyo ni wa kukimbia na kuogopa maana hajatimiza sifa za mwanaume, work hard usifikirie hilo ila ikitokea inakuwa ni bonus, type hii ya wanaume ndio kama ileee ya yule mwenzio aliyekuja humu kulaumu eti wakwe zake hawamsaidii wakati wana uwezo, daaaaamn!!!
 

Kwaiyo hata mmeo inamhusu
 
Tatizo la mademu wa kibongo ni kuendekeza maigizo yasio na msingi,mtoa mada yaonesha we sio mtu wa kuridhika na kidogo but endelea na tamaa zako.Kwa niaba ya sie tusio na pesa tumekusikia tutabaki na maskini wenzetu mpaka tutapokifikia kilele cha mafanikio,i won't let down my ride or die bebe,super legit woman!
 

hahahahahahah,hii tathmini nina uhakika itakuwa 90% katika 100%
 

We kwa nini usiboost kipato apart from paycheque ya mwanaume wako instead ya kumlaumu tu.You aren't his daughter anyway!
 
Uwasilishaji wake hi topic niwakihuni na aliyewasilisha amezoea maisha ya kuchuna mabuzi
 

Wanawake wa siku hizi mnachagua mno yani tofauti na mama zetu ambao walijali upendo zaidi huku wakiamini maisha ni kutafuta hivyo walizaa na baba zetu bila kujali kwamba walikuwa na hela au laa.Hebu fikiri kuna waliozaa na baba zetu ambao asilimia kubwa walikuwa wakulima duni,mafundi mwashi,wachimba mitaro,mafundi cherehani,wauza maduka,washona viatu.Mama zetu waliridhika kwa upendo wa dhati waliokuwa nao kwa baba zetu ingawa mikwaruzano ilikuwepo mingi pia ikiwemo mama zetu kudundwa na kiukweli kipato kilikuwa chatosha kula tu na kuishi maisha ya kawaida.Wengine mama zetu walijituma kuongeza kipato cha familia kwa kuchuuza mboga mboga ikapelekea sie tukasoma mpaka tukafikia kuwa na ajira zenye tija maofisini.Leo hii inashangaza sana kwamba hamna mwanamke anaeridhika na maisha ya kawaida kama enzi za wazazi wetu.Wengi mnahubiri pesa tu mashopping ya gharama,nywele na mapambo ya thamani mnayoona tokea nchi za magharibi kitendo kinachopelekea kuwa mnawinda wanaume wenye kipato kizuri tu na kuwaabudu huku wale walioko chini ama katika hali ya utafutaji kuonekana wanaumwa visukari na kejeli lukuki kuwa bado wavulana.Natamani sana kama mngerejea katika misingi ya wazazi wenu ila sina namna zaidi ya kuwasihi mujitahidi kubadilika japo kidogo tu
 
Last edited by a moderator:
Umeandika as if una personal attack, acha kuishi kwa stress wewe! Mmeudhiana huko unakuja kurelease tension yako Jf upuuzi mtupu.
 
Huyo atakuwa sio mwanaume lijali kwa kuwa amekiuka ile miiko kumi ya mwanaume lijali.

Nitarudi tena bibie
 
Mlipa kodi ame kukimbia nini???? Na nyie wanawake ustaarbu wenu ni sifuri....
 

Wamefikishwa hapa na serikali ya ccm.
 
(Wee kwa nini usiboost kipato apart from paycheque ya mwanaume wako instead ya kumlaumu tu.You aren't his daughter anyway!)

sijawahi Kua na mwanamme wa aina hio. Nimeanza isaka pesa nikiwa na Umri wa miaka 10, (yes, age 10), Na soma na bado nafanya vi biashara vidogo vidogo, and since then mie siku zote ni mtu wa kujiongeza when it comes to hustling. Hata Wakati nimeajiriwa, I was always hustling on the side ili niongeze kipato.
Ila society ya sasa Imejaa wanaume wasiopenda kujiongeza. mshahara hautoshi, Ana mke na watoto, hafikirii hata nifanye nini cha pembeni ili niongeze kipato, kila kukicha ni kulalamika tu Maisha magumu. Such men simply need to get off their lazy asses and wajiongeze. Sio kulalamika tu usiku kucha. Kuitwa mwanamme sio kitu kidogo ati, wewe ndio head of family, na hicho sio cheo kidogo.
 

Hapo kwenye blue, je unataka tuamini kwamba hizo ndio tabia za watu walioolewa? Nyumbani kwenu mama yako ndio zilikuwa tabia zake hizo?

Pili, unapozungumzia "majukumu yenu" unamaanisha nini hasa katika dunia ya sasa?

Tatu, wewe umefanya nini ili kupata drastic improvement katika Hali yako kiuchumi? Au unamsubiri mengi na wewe?

Nne, kuna utofauti mkubwa endapo ungeandika mada hii ukiwa kama mke halali wa mtu na sio kimada (nyie mnaita gelofrendi)

"seeing is deceiving, dreaming is believing,, it's OK not to be ok"
 


Unaposema tunachagua sana ulitaka tujibebee tu vimeo? Ushasema wanawake wa siku hizi, that means time has changed right? Huwezi linganisha maisha ya bibi zetu na sasa, after all hawakuwa na options(walilazimishwa) ila pia wanaume kwa kiasi kikubwa walijitambua, kwasasa kuna mengi ya kuzingatia kabla haujatengeneza familia(je unamudu majukumu hayo?) Jukumu la kutunza familia ni la mwanaume, hivyo mwanaume kama kichwa cha familia watakiwa uwe kichwa kweli na sio kukaa ukilalama tu na kutegemea mkeo ayachukue majukumu yako
 

😱:what::what: hivi unaanzaje kuridhika na kidogo? Kamwe siwezi kuridhika na kidogo thats why nimefikia nilipofikia, kama umeamua kuwa masikini thats totaly yo fault dont blame it on ladies maana hakuna atakae kuwa masikini.
 
Uwasilishaji wake hi topic niwakihuni na aliyewasilisha amezoea maisha ya kuchuna mabuzi

Uandishi huu ni wa kihuni na inaonyesha uliyecoment hapa utakuwa kati ya wanaohusika na mada.
 
Umeandika as if una personal attack, acha kuishi kwa stress wewe! Mmeudhiana huko unakuja kurelease tension yako Jf upuuzi mtupu.

Oooops!! My bad......
Ila ujumbe umeupata eti? Thats was the intetion though.
 
Mlipa kodi ame kukimbia nini???? Na nyie wanawake ustaarbu wenu ni sifuri....

Mlipa kodi wa nini labda? Mume wangu anaanzaje kunikimbia labda? Till death do us apart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…