Wanaume, zingatieni sana jibu la kwanza mnalopewa mnapotongoza ili kumpata mwenye mapenzi ya dhati

Wanaume, zingatieni sana jibu la kwanza mnalopewa mnapotongoza ili kumpata mwenye mapenzi ya dhati

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake la kwanza kutolewa kinywani mwake.

Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke asiyekupenda.

Wanawake ni wanadamu pia, wana machaguo ya mwanaume wanayemtaka moyoni na akilini mwao. Kwahiyo ukipendwa na mwanamke hutapewa kamwe majibu hayo hapo juu. Utapewa NDIYO ya moja kwa moja

Ukimkomalia ama kuendelea kumshawishi kwa mali na fedha basi atavutiwa na mali na fedha lkn wewe ulishakataliwa na kamwe hutapendwa.

Namalizia kwa kuwatakeni wanaume muache kuwa ving'ang'anizi. Mwanamke anayekupenda hutatumia nguvu kumpata.
 
Shida wengi ni sitaki na taka mguu ndani mguu nje..halafu zile swaga za zamani za subiri nifikirie ntakupa jibu hazipo..kwa sasa demu anangalia uwezo wako kifedha tu..mengine mbele kwa mbele.

#MaendeleoHayanaChama
 
Oeni wanawake wema na. Siyo wa zura zura inachakaa ila wema hauosi . Ni maneno ya zungu naibu spika

Namim nasema hakuna mtu atakupenda kwa dhati Kama mam ako na Bab ako Kama unasubiria uje upendwe na mwanamke umepotea njia upendo wadhat upo kwa mam ako
 
Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake kwanza kutolewa kinywani mwake.

Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke asiyekupenda.

Wanawake ni wanadamu pia, wana machaguo ya mwanaume wanayemtaka moyoni na akilini mwao. Kwahiyo ukipendwa na mwanamke hutapewa kamwe majibu hayo hapo juu. Utapewa NDIYO ya moja kwa moja

Ukimkomalia ama kuendelea kumshawishi kwa mali na fedha basi atavutiwa na mali na fedha lkn wewe ulishakataliwa na kamwe hutapendwa.

Namalizia kwa kuwatakeni wanaume muache kuwa ving'ang'anizi. Mwanamke anayekupenda hutatumia nguvu kumpata.

Mbona tulishaachaga kutongoza
 
Sasa kwa tarifa yako kuna dem wiki chache zilizo pita nilikutananaye stand ya mwendokasi nili msalimia tu katika stori mbili 3 nikachukua namba .... sikumtfta kama wiki .... baada ya hapo nkarusha ndoano aka goma nika mkaushia ikapita mwezi ..... jana kanitumia mesej kwahiyo ndo umekasirika au ... mpaka sasa cjamjibu chchte .....
 
akikataa mng'ang'anie mpaka akubali baadae atachagua akae au aondoke kwa atakayokutana nayo
 
Unapomfukuzia mwanamke kuwa makini sana na jibu lake kwanza kutolewa kinywani mwake.

Ukikataliwa, ukipewa excuse, ukiambiwa "mimi sikupendi", ukiambiwa "shika adabu yako", ukiambiwa "aku mm nina mtu wangu" ama jibu lolote linalofanana na hayo LIHESHIMU. Ukikomaa utakuwa na mpenzi ama mke asiyekupenda.

Wanawake ni wanadamu pia, wana machaguo ya mwanaume wanayemtaka moyoni na akilini mwao. Kwahiyo ukipendwa na mwanamke hutapewa kamwe majibu hayo hapo juu. Utapewa NDIYO ya moja kwa moja

Ukimkomalia ama kuendelea kumshawishi kwa mali na fedha basi atavutiwa na mali na fedha lkn wewe ulishakataliwa na kamwe hutapendwa.

Namalizia kwa kuwatakeni wanaume muache kuwa ving'ang'anizi. Mwanamke anayekupenda hutatumia nguvu kumpata.
Umeongea point ya msingi sanaa mkuu. Wanaume wengi ni wa hovyo sana suala la kutongoza. Mimi nilishakataaga kitambo sana upuuzi wa kutumia mda mrefu kumtongoza mwanamke. Yaani jibu la kwanza tuu linakupa picha inatosha haina haja ya kubembeleza sana kwasababu na wao pia wanahisia na wanapenda
 
Sasa kwa tarifa yako kuna dem wiki chache zilizo pita nilikutananaye stand ya mwendokasi nili msalimia tu katika stori mbili 3 nikachukua namba .... sikumtfta kama wiki .... baada ya hapo nkarusha ndoano aka goma nika mkaushia ikapita mwezi ..... jana kanitumia mesej kwahiyo ndo umekasirika au ... mpaka sasa cjamjibu chchte .....
Safi sanaaaa.
 
Umeongea point ya msingi sanaa mkuu. Wanaume wengi ni wa hovyo sana suala la kutongoza. Mimi nilishakataaga kitambo sana upuuzi wa kutumia mda mrefu kumtongoza mwanamke. Yaani jibu la kwanza tuu linakupa picha inatosha haina haja ya kubembeleza sana kwasababu na wao pia wanahisia na wanapenda
Ndiyo mkuu. Sasa unakuta mtu anaanza kumganda mtoto wa watu kwa vitu na fedha mpk mwanamke anavutika navyo. Halafu yeye anajua kapendwa
 
Kijana hakikisha unatumia sehemu ndogo sana ya maisha yako kwenye hizi Drama za Mapenzi...

Hakika utaishi maisha marefu sana,,,
 
Sasa kwa tarifa yako kuna dem wiki chache zilizo pita nilikutananaye stand ya mwendokasi nili msalimia tu katika stori mbili 3 nikachukua namba .... sikumtfta kama wiki .... baada ya hapo nkarusha ndoano aka goma nika mkaushia ikapita mwezi ..... jana kanitumia mesej kwahiyo ndo umekasirika au ... mpaka sasa cjamjibu chchte .....
Wanawake wakiwa na shida ya pesa wanaanza kupitia phonebook na sms ambazo hawakujibu
 
Back
Top Bottom