Wanaumeee...eeee!!!!

Wanaumeee...eeee!!!!

Mkuu. Mi juzi nilitoka papi chulo nkarudi geto kulala nkaota Nina mtoto mkali kisenge...sasa nikawa Nina mpapasa kiutamu sasa ile nataka kut..ia tu nkapiga Ba..o wazungu wakatoka fasta nkaamka. Hili nalo sijui ni tatizo dah
mkuu hii inaoneaha wazi ni dalili za hatar aisee
 
Utakua unafanya na spiritual wife
 
Unawatoto wa kutosha kuzimu mwanangu hayo majini sasa cha kufanya usilale bila kusali
[emoji113][emoji113][emoji113][emoji268][emoji268][emoji268]
 
Niaje wadau..

Ni mara kadhaa sasa kila nikiwa naamka asubuhi nakuta boxer yangu imeshachafuliwa na dyudyu.....

.yan mpka nimejikuta kwenye mawazo yaliozaa swali lifuatalo ambalo ntaomba mnisaidie majibu yake.

Hivi usiku mtu unapolala na bila kujitambua unaingia kwenye ndoto tam tam na ghafla unajikuta umemwaga wazungu wakutosha,,

Hivi nayo ile ni punyeto jaman????[emoji30] maana duuhh!! mmmhh!! kijana wenu huku mmmhh!!!
Hiyo ni balehe yako inakomaa komaa hivyo hicho ni kipindi cha mpito tuu na hakuna mwanaume ambae haijawahi kumtokea hilo hivyo hayo ni mambo ya kawaida kwa mwanaume
 
Na shuka jee? Ukitoka shuka godoro jee? Maana manii yana kaharufu flani hivii.....

Au unalala chini? Kuepuka usifue kabisa?

Nimejikuta tuu nimewaza kwa mpigo.

Ever Smiling Kasie.
Wee ulinusa??na hako kaharufu kananukiaje nukiaje
 
Unawatoto wa kutosha kuzimu mwanangu hayo majini sasa cha kufanya usilale bila kusali
[emoji113][emoji113][emoji113][emoji268][emoji268][emoji268]
duuuuhh kivp yn mkuu...kwamba nilikua nampiga show jini au
 
Wazazi mlipe ada mnyang'anye simu wanenu wakaripoti shule. Ona vimeshaanza kusimuliana ndoto nyevu mbele ya baba na mama zao. Balehe za siku hizi bwana.
 
Back
Top Bottom