Kowan
Member
- Mar 15, 2011
- 62
- 1
For **** sek
What the **** is this
tukusaidie nini tu hapa..?
He need to grow up
And stop that nun sense....
we mbona waonesha waficha matusi..... badala ya kumsaidia huyo kija anae tamani... una stress eee!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For **** sek
What the **** is this
tukusaidie nini tu hapa..?
He need to grow up
And stop that nun sense....
unataka kujaribu bahati yako je akikubali huoni utaleta ugomvi kati yako na
kaka yako chunga tamaa mbaya ndugu yangu
wasichana wapo wengi
udugu lazima uvunjike hapo kaka akijua,,lazima amkate makendee,muambie achana naee kama ana shida ya demu aseme tumtafutie demu,,kuna kila njia za kupata mademu hadi facebook wapata demu tena rahisi ikisha wakaliiii unachagua kama upo unaangalia album teh teh
kumtamani sio kosa....kosa ni huko kutaka kujaribu hicho anachokiita bahati yake....mwambie amuheshimu kaka yake na amuogope Mungu.
kuhusu akili za baadhi ya wanaume,usitake kabisa kuzitafakari utaishia kufa hujafika loliondo kwa babu.....sio kabisa na kwenye ishu hizo baadhi/wengi wao akili huamia sehemu ya chini ya kiuno!!!
unataka kujaribu bahati yako je akikubali huoni utaleta ugomvi kati yako na
kaka yako chunga tamaa mbaya ndugu yangu
wasichana wapo wengi
😛anda:Wanajamvi, kuna kijana mmoja anasema, eti ametokea kumpenda sana mpenzi wa kaka yake, amejaribu kujizuia ameshindwa hivyo anataka ajaribu bahati yake kwa huyo mpenzi wa kaka yake! Sasa jamani, baadhi ya wanaume wanaakili kweli? Utawezaje kumtamani mpenzi wa kaka yako tena wa kuzaliwa? Ni laana au!!!!!!!!!!!!!!?😛anda:😛anda: