Wanaumeeeeee!!!!!

For **** sek
What the **** is this
tukusaidie nini tu hapa..?

He need to grow up
And stop that nun sense....

we mbona waonesha waficha matusi..... badala ya kumsaidia huyo kija anae tamani... una stress eee!!!!!
 
Kutamani ni swala la kawaida na kila siku tunatamani...... akimzoea atamuona wa kawaida.
 
unataka kujaribu bahati yako je akikubali huoni utaleta ugomvi kati yako na
kaka yako chunga tamaa mbaya ndugu yangu
wasichana wapo wengi

Duh my black woman hii font......noma. maana nimeona post ya pili unaweka font ndogo
 
udugu lazima uvunjike hapo kaka akijua,,lazima amkate makendee,muambie achana naee kama ana shida ya demu aseme tumtafutie demu,,kuna kila njia za kupata mademu hadi facebook wapata demu tena rahisi ikisha wakaliiii unachagua kama upo unaangalia album teh teh
 

Hataki demu...anataka mpenzi!
 

Michelle! vichwa vya chini ya kiuno haviwezi kufikiri mambo mawili kwa wakati mmoja, na huwa vina dominate vikiachiwa nafasi ya ku-take over
 
Kweli hapo inabidi apime...nini anathamini zaidi, uhusiano wake na kake........au hisia zake kwa huyo mwanamke!!

unataka kujaribu bahati yako je akikubali huoni utaleta ugomvi kati yako na
kaka yako chunga tamaa mbaya ndugu yangu
wasichana wapo wengi

 
Ninavyojua mimi ni kuwa huo ni ugonjwa unaoweza kuwapata vijana wakiwa katika miaka ya mwanzo ya balehe,yaani anakuwa na tabia ya kuwindia nyumbani au wale wenye uhusiano na ndugu zake,ni ugonjwa wa kisaikolojia zaidi japo jina lake limenitoka lakini kama anataka msaada anaweza kuwaona wataalamu wa saikolojia kwa msaada zaidi.Na vilevile akumbuke kuwa imeandikwa "usichungulie utupu wa mke wa kaka yako kwani ni utupu wa kaka yako."
 
kwawale wenzangu na mie lazima tungemkea huyu si bure!! itakua ana pepo mchafu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…