Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Kama kuna mtu mwenye mawasiliano na wanausalama wa Tanzania wowote aliye Malaysia naomba Contacts zake au unaweza kuwasiliana kwa +255716 494151 Msaada wa haraka sana unahitakija Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuchemka you wanna make people know who you are while not.Live Your lifeKama kuna mtu mwenye mawasiliano na wanausalama wa Tanzania wowote aliye Malaysia naomba Contacts zake au unaweza kuwasiliana kwa +255716 494151 Msaada wa haraka sana unahitakija Ahsante
^^ Huyo ndio Shy...Mikwara mbuzi kibao
Ndio hawa tuliokuwa nao katika harusi huku jangwani nini
kwahiyo chochote kikimkuta mtanzania katika nchi ya malaysia hakuna wa kushugulikia ? balozi za karibu na huko hazina wana usalama wanaoweza kusaidia watanzania ? hii balaa hata hivyo nimeomba mpaka kenya kwa sababu hii yote ni afrika ya mashariki kuna mtanzania mwenzetu anahitaji msaada wa haraka sana huko alipo
Acha kuchemka you wanna make people know who you are while not.Live Your life