MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Wanavijiji 11 Mbeya, Tanzania wajeruhiwa baada ya vita kuibuka kisa mzozo wa ardhi baina ya wakulima.
Nilishalisema hili, raslimali zikipungua watu huanza kuonana wabaya, hili nilijaribu kulisema kwenye ule uzi unaozungumzia kuhusu Wanijeria kufukuzwa Afrika Kusini, niliposema mgeni usijimix na kusahau ulikotoka mdau Eyce akang'ang'ania kwamba kwa Tanzania haiwezekani, maana wao ni wakarimu kwa wageni, sasa hebu waza hapa Watanzania wenyewe kwa wenyewe wanatembezana mapanga kwa mgogoro wa ardhi, je hapo angekua ni mgeni asiye Mtanzania yapi yangemkuta.
Kumbuka huu sio hata ugomvi wa wafugaji dhidi ya wakulima, ila wakulima kwa wakulima, ilhali nchi yao imejaa mapori mengi ambayo hayajalimwa.
-------------------
Mbeya. Eleven people have been injured during a fight between Msesule villagers in Mbarali district following a land conflict.
The incident occurred on Friday, when Msesule villagers attacked farmers, who are under Mahalala irrigation scheme. The farmers were clearing a 300 hectares farm, when the chaos erupted.
Acting Mbeya Regional Police Commander Mr Jerome Ngowi confirmed the incident during a Press Conference.
According to the RPC police are holding eight people in connection to the incident. Mr Ngowi said the villagers and farmers have been embroiled in land conflict, which has persisted for a long time.
www.thecitizen.co.tz
Nilishalisema hili, raslimali zikipungua watu huanza kuonana wabaya, hili nilijaribu kulisema kwenye ule uzi unaozungumzia kuhusu Wanijeria kufukuzwa Afrika Kusini, niliposema mgeni usijimix na kusahau ulikotoka mdau Eyce akang'ang'ania kwamba kwa Tanzania haiwezekani, maana wao ni wakarimu kwa wageni, sasa hebu waza hapa Watanzania wenyewe kwa wenyewe wanatembezana mapanga kwa mgogoro wa ardhi, je hapo angekua ni mgeni asiye Mtanzania yapi yangemkuta.
Kumbuka huu sio hata ugomvi wa wafugaji dhidi ya wakulima, ila wakulima kwa wakulima, ilhali nchi yao imejaa mapori mengi ambayo hayajalimwa.
-------------------
Mbeya. Eleven people have been injured during a fight between Msesule villagers in Mbarali district following a land conflict.
The incident occurred on Friday, when Msesule villagers attacked farmers, who are under Mahalala irrigation scheme. The farmers were clearing a 300 hectares farm, when the chaos erupted.
Acting Mbeya Regional Police Commander Mr Jerome Ngowi confirmed the incident during a Press Conference.
According to the RPC police are holding eight people in connection to the incident. Mr Ngowi said the villagers and farmers have been embroiled in land conflict, which has persisted for a long time.
Eleven people injured in fight between villagers
Eleven people have been injured during a fight between Msesule villagers in Mbarali district following a land conflict.