Wanavyuo, kwanini huwa mnaona noma kutaja majumbani kwenu?

Mngejua hao mnaowababaikia wanashindia supu ya utumbo wa kuku na machapati.... Walahi msingefanya huo ujinga.
 
Wana Tabu masister duu wengine hata hizo likizo hawaendi kwao coz wanataka Kubaki mijini
Wanaona kwao hakufai matokeo yake wanafanya shughuli haramu ili waweze kujikimu
 
arusha nan atakuhonga 100,000
Mwanza nani atakupa lift ya alteza,mark x, subaru,.vitz
mikoani nan utamvalia milegezo.na.vimini zaidi ya kukuona mshamba
Wewe njoo miji ya dhahabu uone matusi yani unaongelea mark x, subaru, alteza eti na vitz unahesabu gari. Huku hayo ni magari ya vijana wadogo ambao hawajashika dhahabu sawasawa. Unaawajua makota wewe?

Mi nilitegemea uniambie lifti za Ferrari, Lamborghini, Chevrolet, GMC au Cadilarc. Wewe unaongelea vitz hiyo gari jamaa yangu alimhonga dem wa SAUT na kumtema siku hiyo hiyo
 
Duuh Cheka sana, enheee na wewe kwenu wapi mkuu.
 
Serious huo ni ujinga,me nilikua proud kusema natokea wapi,hadi malecturer baadhi walijua nakotokea,raha sana.
 
Hahahaaa nimependa ulivyo pamba hilojina la huko kwenu eti call me j, "colomije"

Unamjua bashite?.
Bashite ni rafiki angu,jembe langu tumesoma wote na ndo nlikua namuangalizia kwenye Pepa πŸ˜€
 
Wala ADVENTURE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…