eti wanataka tuchangie na mifuko ya cemeny na malori ya mchanga na bati hii ni haki kweli?mwanamke anachangia pato kubwa katika familia kuliko mwanamme. Hivi ulishajiuliza valuation ya unpaid duties inafanyikaje?Kusafisha ndani, kupika, kulea watoto, kuwanyonyesha, kubeba mimba ndani ya tumbo lake, kulea mume n.k. Hivi vyote vikiwekwa kwenye monetary value unadhani itafikia vijichenji vyako unavyoleta nyumbani?
Wakati wao ndo waliambiwa watakula kwa jasho,sisi tutazaa kwa uchungu,XY not=XXeti wanataka tuchangie na mifuko ya cemeny na malori ya mchanga na bati hii ni haki kweli?
eti na bado wanataka heshima ukitaka kujua heshima ya mtu ipo wapi wewe mjali sasa kama mwanamke unacontribute kila kitu ndani kila kitu upo heshima itakuwepo jamani?Wakati wao ndo waliambiwa watakula kwa jasho,sisi tutazaa kwa uchungu,XY not=XX
It is what it is.....
wanawake tumekuwa ktk mstari wa mbele kudai HAKI na FURSA SAWA kwa wote (50% kwa 50%) mbona majukumu ya familia tunayakwepa??? tena na majina kibao ya kuwadhalilisha wenzi wetu, (sharobaro, mwanaume suruali, nk) tutaongozaje jamii na taifa kama hatuwezi kuongoza familia zetu?
Namaanisha matumizi ya nyumbani huku tunajitetea mwanamke tumeubwa kulelewa!!
Huku tunasema mfumo dume unatukandamiza tunataka viti maalum, na nafasi kibao za uongozi kwenye jamii....nyumbani kuwajibika hatutaki, tunamwachia mume majukumu yote! bora mwanamke ambae hana hela, naongea na sisi wenye vijisenti...TUTAFIKA?
MIAKA 50 YA UHURU??