Wanawake acheni kujichosha

Wanawake acheni kujichosha

Utakuta mwanamke unajitutumua kwa nguvu zote ili aonekane ni wa ghali au wa garama wakati wanaume hata hawajui tofauti kati ya Brazilian hair na manyoa ya kondoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


cc: Hamisa Mobeto
 
Les wigi bana zuri mno full kupendeza[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
ha ha ha ila kweli hata hawaelewi labda kama wanaenda wote shopping ndio atajua
 
Back
Top Bottom