Wanawake acheni kujichosha

Utakuta mwanamke unajitutumua kwa nguvu zote ili aonekane ni wa ghali au wa garama wakati wanaume hata hawajui tofauti kati ya Brazilian hair na manyoa ya kondoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


cc: Hamisa Mobeto
 
Les wigi bana zuri mno full kupendeza[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
ha ha ha ila kweli hata hawaelewi labda kama wanaenda wote shopping ndio atajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…